Bahati ya mwenzio isikutoe roho ukaacha mambo yako.
Ni kweli kila mtu na bahati yake, ukiona mwenzako kafanikiwa ana riziki yake nawe una yako na siku zote hazifanani.Usiige maisha ya mtu mwingine, hata kwa lifestyle yako waweza kufanikiwa
Maisha hayana formula
Yaani thithiem imekuwa na tamaa ya madaraka imeamua kufuata siasa chafu kwa kuiga nchi kama Uganda,Rwanda,Congo etc na kuacha siasa swaafi zilizosimamisha TAIFA na zilizokuwa mfano wa kuigwa duniani.Bado elewa
Kwaakili yako hyo hata mkeo akienda kugongwa na mwanaume mwingne utakuwa unailaumu ccmYaani thithiem imekuwa na tamaa ya madaraka imeamua kufuata siasa chafu kwa kuiga nchi kama Uganda,Rwanda,Congo etc na kuacha siasa swaafi zilizosimamisha TAIFA na zilizokuwa mfano wa kuigwa duniani.
Kwaakili yako hyo hata mkeo akienda kugongwa na mwanaume mwingne utakuwa unailaumu ccm