Katika kuoa kuna kuoa kwa aina tatu1 kijana anaona ana majukumu mengi ya kazi anaona anahitaji msaidizi km akute chakula kufuliwa nk2 tamaa yaani wenzake wote wameoa anawafuata na pia tamaa ya kungonoka wanavosema waswahili3 umri umefikia na anaweza kuitunza familiasasa hapa umefuata ipi au utafuata ipi?????asanteni