Umeelewa nini kwenye hii picha?

Umeelewa nini kwenye hii picha?

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
16,029
Reaction score
26,231
Ninaomba mnieleweshe,nimeshindwa kuielewa!
 

Attachments

  • IMG-20250406-WA0000.jpg
    IMG-20250406-WA0000.jpg
    100.1 KB · Views: 8
Kwasababu inaangaliwa thamani ya vitu. Pesa ni bora kuliko elimu haijalishi hiyo pesa imepatikanaje
 
That means uchawa unalipa zaidi kuliko utaalam, (Chawa/wanafiki wana thamani zaidi kuliko wasomi/wataalam) jambo ambalo ni hatari sana kwa maendeleo na pia mustakabari wa nchi.

Badala ya kujenga Taifa la wataalam kwenye sekta mbalimbali, viongozi wetu wanajenga Taifa la wanafiki, na waimba mapambio!
 
Kiongozi yeyote anayezingirwa na kuyaendekeza machawa ni kiongozi dhaifu mnoo, incompitent!!.
Tafakari!.
 
Back
Top Bottom