That means uchawa unalipa zaidi kuliko utaalam, (Chawa/wanafiki wana thamani zaidi kuliko wasomi/wataalam) jambo ambalo ni hatari sana kwa maendeleo na pia mustakabari wa nchi.
Badala ya kujenga Taifa la wataalam kwenye sekta mbalimbali, viongozi wetu wanajenga Taifa la wanafiki, na waimba mapambio!