Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,065
- 111,661
Hakuna cha sayansi hapo hueleweki 😂Tatizo nimetumia sayansi kukuelezea na kama sayansi inakupiga chenga tutakesha hapa.. nishaona hapa itakuwa kivumbi mpaka unakuja kunielewa ibaki niseme inatosha..😅
