Geofrey Andrew Sanga
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 251
- 55
Ni hali ya kawaida kwa binadamu hasa mwenye mwili, hisia, akili, macho kuhitaji faraja ya mpenzi wake muda ukifika, lakini kama yuko mbali saana nawekiasi cha kuhitaji nauli au kuandaa safari ili kumfuata popote alipo ina kuwa kama kikwazo, hivyo kwa utashi na uzoefu wa watatifi , inaonyesha kuwa mpenzi aliye mbali na mpenzi wake ni rahisi kufanya maovu ya usaliti ili kujikimu.
Hii inkuwa applicable kwa wote mwanaume na mwanamke. Hata wasanii wanasema sana na kusisitiza kuwa umbali baina ya wapenzi chaweza kuwa ni chanzo cha maumivu hata kifo cha hisia baina ya wapenzi.
Hasa ukizingatia fimbo ya mbali haiui nyoka , ngoja ngoja yaumiza tumbo, mkono mtupu haulambwi. Ukisalitiwa na mpenzi wako aliyepo chuo, mkoa mwingine, nchi za nje pia usishangae wala kujiua ndio fomula ya mapenzi kuwa umbali ni kitanzi.
Inakuwa ngumu kwa mtu kukidhi mahitaji ya mwenzake hasa kwa mawasiliano ya mara kwa mara ili kumfanya akuone upo kwani siku utakayo acha kuwasiliana nae hata kwa masaa huibua ugonvi wa hatali kati ya wapenda nao na shutuma za kuzidi kwa mwenza wako.
Lakini swali ni hili nani sasa awe mpenzi wako na awe umbali au ukaribu wa kiasi gani nawe ili mfike mbali ikibidi zile ndoto zenu za maandishi na mitazamo zitimie!!!??
Hii inkuwa applicable kwa wote mwanaume na mwanamke. Hata wasanii wanasema sana na kusisitiza kuwa umbali baina ya wapenzi chaweza kuwa ni chanzo cha maumivu hata kifo cha hisia baina ya wapenzi.
Hasa ukizingatia fimbo ya mbali haiui nyoka , ngoja ngoja yaumiza tumbo, mkono mtupu haulambwi. Ukisalitiwa na mpenzi wako aliyepo chuo, mkoa mwingine, nchi za nje pia usishangae wala kujiua ndio fomula ya mapenzi kuwa umbali ni kitanzi.
Inakuwa ngumu kwa mtu kukidhi mahitaji ya mwenzake hasa kwa mawasiliano ya mara kwa mara ili kumfanya akuone upo kwani siku utakayo acha kuwasiliana nae hata kwa masaa huibua ugonvi wa hatali kati ya wapenda nao na shutuma za kuzidi kwa mwenza wako.
Lakini swali ni hili nani sasa awe mpenzi wako na awe umbali au ukaribu wa kiasi gani nawe ili mfike mbali ikibidi zile ndoto zenu za maandishi na mitazamo zitimie!!!??