Umaskini mwingi huletwa na wanawake ktk mahusiano na ndoa, a woman never satisfy..!!

Jay One

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
16,857
16,754
Kaaaahhh kimenukaaa...!!!
Kwa WANAUME: ukitaka kufeli kimaisha till 2 b Matonya like, mpende mwanamke, then uone drama, hawa wanawake hawajui MAENDELEO, ARE SHORT SIGHTED, ataku endesha hadi kazi, marafiki, ndugu wooote utawaona wabaya, natakaaaa, natakaaa hiki, kile, hii, hiyoo, au wengine hawasemi wapo kimya usiponunua atakacho anatoka nje kugawa mzigo, ALERT TO MEN. do what u can do most women never satisfy, u can do matured sex with her, rough one, atakutamkia NO ONE LIKE U, utampeleka out, shopping, mpe hela, BALAA atagawa nje bureeeee, MEN, my FELLOW MEEEN, watch out, since ADAM & Eve, DELILA & Samson, STRASS KHAN former imf chief, WOMEN ndio chanzo cha kuanguka vibaya, MY FELLOW MEEEEEN, have a touuugh stand kuhusu hawa watu, do everything, one day asubuhi mkate ukosekane ndio utajua hawana simile, memory, or ulifanya kizuri in the past, USIMWONESHE MWANAMKE UNA MPENDAAAAA, utakuwa maskini fukara kabisa, tired
 
sio wote wapo wenye akili zao na wanajua thamani ya kupenda na kupendwa pia wanajua maisha ni kitu gani, sasa unaokutananao ni vilaza.
na ndo maana wanakuendesha hivo
 
Kaaaahhh kimenukaaa...!!!
Kwa WANAUME: ukitaka kufeli kimaisha till 2 b Matonya like, mpende mwanamke, then uone drama, hawa wanawake hawajui MAENDELEO, ARE SHORT SIGHTED, ataku endesha hadi kazi, marafiki, ndugu wooote utawaona wabaya, natakaaaa, natakaaa hiki, kile, hii, hiyoo, au wengine hawasemi wapo kimya usiponunua atakacho anatoka nje kugawa mzigo, ALERT TO MEN. do what u can do most women never satisfy, u can do matured sex with her, rough one, atakutamkia NO ONE LIKE U, utampeleka out, shopping, mpe hela, BALAA atagawa nje bureeeee, MEN, my FELLOW MEEEN, watch out, since ADAM & Eve, DELILA & Samson, STRASS KHAN former imf chief, WOMEN ndio chanzo cha kuanguka vibaya, MY FELLOW MEEEEEN, have a touuugh stand kuhusu hawa watu, do everything, one day asubuhi mkate ukosekane ndio utajua hawana simile, memory, or ulifanya kizuri in the past, USIMWONESHE MWANAMKE UNA MPENDAAAAA, utakuwa maskini fukara kabisa, tired

Samahani lakini kwa ntakalosekuliza ikiwa ntakukwaza.
Unamanisha hata mzazi wako pia alimfilisi Baba yako? au ulipata wapi utafiti kama huu?
 
Braza we acha tu.
Ilikuwa ni mwaka 2008
Baada ya kuona maisha ya kupanga ni magumu, niliweka mpango wa kujenga nyumba ya wastani. Kuna pesa nilipata mahari, nikaongezea na mkopo toka benki halafu ujenzi ukaanza. Kwa kuwa nilikopa benki, mshahara unaoingia kwenye account ukapungua kutokana na makato. Baadaye mke akapata kazi inayomlipa mara nne ya kipato chake cha awali.

Nikamshauri anipunguzie mzigo wa kodi ya meza bz pato langu limeshuka. Haikupita nusu mwaka malalamiko niliyopata, asikwambie mtu. Eti simtunzi (economically). Wakati anajua economically pato limepungua kwa sababu gani.

From that day mpaka leo sina hamu naye on economical issues. Nafanya ninachoweza.
 
Samahani lakini kwa ntakalosekuliza ikiwa ntakukwaza.
Unamanisha hata mzazi wako pia alimfilisi Baba yako? au ulipata wapi utafiti kama huu?

Acha ujinga nausilete matusi. Amesema be careful with woman. Kama uwamini endelea baadae utajuwa kile alikuwa anamanisha. Kuwa makini kuwa makini, mwanamke hakumbuki jema lolote utamtendea kikinuka kimenuka! Sasa kama ujuwi juwa sasa!
 
wanawake wamewakosea nini?

Wama mama zenu jamani wamewabeba miezi tisa, wake zenu wamewabebea mimba miezi 9 na kuzaa kwa uchungu . . .

Kama hukufanya chaguo jema wakati unaoa au kwenye uchaguzi wa mwenza wako msihukumu wote!

Kuna kamsemo "behind every successful man, there is a woman. . ."
 
Samahani lakini kwa ntakalosekuliza ikiwa ntakukwaza.
Unamanisha hata mzazi wako pia alimfilisi Baba yako? au ulipata wapi utafiti kama huu?
Ujinga ni ujinga hata akiutenda baba/mama yako. Defn ya ujinga is not dependant on who does the ujinga but rather ujinga wenyewe
 
unakosea sana ondoa hayo mawazo utafanikiwa......................
 
acheni upimbi nyie watu ....mama yako alikua halali usiku wakati baba yako anaspend na vimada ..dada zako walichubuka vidole kwa kufua kinyesi chako ...bila haya leo mnageneroliz eti wanawake wanaleta umaskini unajua ni kiasi gani mama yako alilima vibarua hadi wewe ukafikia hapo? tumie vichwa vyenu nyie wote mmezaliwa na mwanamke mmekaa kwenye tumbo zao for 9 months kwani huyo baba yako hakuwa na tumbo????upumbavu wako na ujinga wako unaanza kutafuta pa kujifariji kwani unashikiwa bastola?si unatoa mwenyewe kwa ulofa wako alaaaaa?
 
Kaaaahhh kimenukaaa...!!!
Kwa WANAUME: ukitaka kufeli kimaisha till 2 b Matonya like, mpende mwanamke, then uone drama, hawa wanawake hawajui MAENDELEO, ARE SHORT SIGHTED, ataku endesha hadi kazi, marafiki, ndugu wooote utawaona wabaya, natakaaaa, natakaaa hiki, kile, hii, hiyoo, au wengine hawasemi wapo kimya usiponunua atakacho anatoka nje kugawa mzigo, ALERT TO MEN. do what u can do most women never satisfy, u can do matured sex with her, rough one, atakutamkia NO ONE LIKE U, utampeleka out, shopping, mpe hela, BALAA atagawa nje bureeeee, MEN, my FELLOW MEEEN, watch out, since ADAM & Eve, DELILA & Samson, STRASS KHAN former imf chief, WOMEN ndio chanzo cha kuanguka vibaya, MY FELLOW MEEEEEN, have a touuugh stand kuhusu hawa watu, do everything, one day asubuhi mkate ukosekane ndio utajua hawana simile, memory, or ulifanya kizuri in the past, USIMWONESHE MWANAMKE UNA MPENDAAAAA, utakuwa maskini fukara kabisa, tired


Mr President washakutenda eee l.o.l. Pole bana, but sio wote ni wale ambao hawana plan zozote za badae na wewe ila ni wapitaji tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom