share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,062
- 10,461
Wakati Tanganyika, samahani Tanzania yenye umri wa miaka 47 ikiwa katika harakati za kusheherekea miaka 50 ya Uhuru, tafiti zinaonyesha kuwa umaskini wa Mtanzania mmoja mmoja unaendelea kukua. Hayo yamo katika ripoti ya Benki ya Dunia ambazo nukuu zake zipo kwenye Daily News la leo Oktoba 20,2011. Kwa kifupi soma hapa chini:
WB: Poverty Among Tanzanians On Increase
By ABDULWAKIL SAIBOKO, Tanzania Daily News
The World Bank has called for introduction of cash transfer to people as poverty is on rise among individuals in Tanzania despite general economic growth.
The WBs report issued on Tuesday with a title; Tanzania: Poverty, growth and public transfers noted that poverty in the country was widely spread.
Hivyo sasa tunasheherekea miaka (50 !!!) 47 ya umaskini au uhuru tuliotarajia upambane na adui UMASKINI (Ujinga na Maradhi)?
WB: Poverty Among Tanzanians On Increase
By ABDULWAKIL SAIBOKO, Tanzania Daily News
The World Bank has called for introduction of cash transfer to people as poverty is on rise among individuals in Tanzania despite general economic growth.
The WBs report issued on Tuesday with a title; Tanzania: Poverty, growth and public transfers noted that poverty in the country was widely spread.
Hivyo sasa tunasheherekea miaka (50 !!!) 47 ya umaskini au uhuru tuliotarajia upambane na adui UMASKINI (Ujinga na Maradhi)?