Umaskini kwa Watanzania unaongezeka

share

JF-Expert Member
Nov 22, 2008
6,062
10,461
Wakati Tanganyika, samahani Tanzania yenye umri wa miaka 47 ikiwa katika harakati za kusheherekea miaka 50 ya Uhuru, tafiti zinaonyesha kuwa umaskini wa Mtanzania mmoja mmoja unaendelea kukua. Hayo yamo katika ripoti ya Benki ya Dunia ambazo nukuu zake zipo kwenye Daily News la leo Oktoba 20,2011. Kwa kifupi soma hapa chini:

WB: Poverty Among Tanzanians On Increase

By ABDULWAKIL SAIBOKO, Tanzania Daily News

The World Bank has called for introduction of cash transfer to people as poverty is on rise among individuals in Tanzania despite general economic growth.

The WB’s report issued on Tuesday with a title; ‘Tanzania: Poverty, growth and public transfers’ noted that poverty in the country was widely spread.


Hivyo sasa tunasheherekea miaka (50 !!!) 47 ya umaskini au uhuru tuliotarajia upambane na adui UMASKINI (Ujinga na Maradhi)?
 
Back
Top Bottom