Umasikini mkubwa wa watanganyika , ambao wanamiliki rasilimali nyingi sana zisizohamishika kama mbuga za asili,milima na maziwa makuu barani afirka, pamoja na madini na mabwawa makubwa na mabonde maarufu umesababishwa kwa asilimia kubwa na UFISADI ndani ya ccm, viongozi wamekuwa wakitafuna rasilimali hizi kiasi cha kufikia kubeba twiga kwenye ndege, wamekuwa wakiuuwa mali asili na meli za viongozi wa ccm kukamatwa na meno ya tembo, wamkuwa wakiuza nchi kwa kuingia mikataba ya ovyo na kuhongwa mabilioni ya shilingi na kwenda kuyaficha nje.
Umasikini wetu watanganyika haujatokana na kulipa wabunge wa znz mishahara kwa vile majimbo yao madogo, wala haujatokana na kulipa wanajeshi na polisi ambao tunatumia sehemu zote nchini huku znz haichangii. znz tunaweza kuihudumia vizuri tu sisi kama watanganyika bila kuchukua chochote kwao na bado maendeleo pande zote yakawa mazuri.
Leo hii tunaagiza mafuta ,malawi wanachukulia bandari yetu lakini kwao bei nafuu kuliko sisi, uganda waagiza nguo kwa bandari yetu alafu kule nafuu kuliko kwetu na kujikuta wafanyabiashara wakienda uganda kununua nguo au malawi kununua mafuta.YOTE HII NI UKUBWA WA KODI TUNAYOTOZWA.huku pesa zote za rasilimali zikitaifishwa na wachache mbaya zaidi baada ya kuziweka katika mzunguko huchukua mabilioni hayo kwenda kuyaficha nchi za ulaya au sa na wengine hufa na pesa kupotelea huko.
Umasikini wetu wakutupa haijasababishwa na waznz bali UONGOZI MBOVU WA CCM.
Umasikini wetu watanganyika haujatokana na kulipa wabunge wa znz mishahara kwa vile majimbo yao madogo, wala haujatokana na kulipa wanajeshi na polisi ambao tunatumia sehemu zote nchini huku znz haichangii. znz tunaweza kuihudumia vizuri tu sisi kama watanganyika bila kuchukua chochote kwao na bado maendeleo pande zote yakawa mazuri.
Leo hii tunaagiza mafuta ,malawi wanachukulia bandari yetu lakini kwao bei nafuu kuliko sisi, uganda waagiza nguo kwa bandari yetu alafu kule nafuu kuliko kwetu na kujikuta wafanyabiashara wakienda uganda kununua nguo au malawi kununua mafuta.YOTE HII NI UKUBWA WA KODI TUNAYOTOZWA.huku pesa zote za rasilimali zikitaifishwa na wachache mbaya zaidi baada ya kuziweka katika mzunguko huchukua mabilioni hayo kwenda kuyaficha nchi za ulaya au sa na wengine hufa na pesa kupotelea huko.
Umasikini wetu wakutupa haijasababishwa na waznz bali UONGOZI MBOVU WA CCM.