Kutana na kijana anaitwa PB
Poor Brain mwenye umri wa miaka 17 aliyejifundisha binafsi jinsi ya kutongoza na kukunja mishangazi kutoka Gongo la mboto Tanzania.
Aliweza kugundua udhaifu mkubwa kwenye mbinu za kutongoza mishangazi. Kupitia udhaifu huo aliweza kufikia mashangazi zaidi ya 142 na kuingea nao kwa lugha nzuri na kuishia kuwakunja
Poor Brain aliripoti hatua hizo kwa kuwashirikisha vijana wachache wenye uchu wa mishangazi kupitia email na kupata barua rasmi ya shukrani kwa chama cha mashangazi Tanzania (CHAMATA) mnamo May 2025.
Kwa sasa anasoma Nairobi bangol Malaysia na anafanya kazi kama mchambuzi wa lugha rafiki mtongozo, pia
Poor Brain aliweza kugundua udhaifu mwingine wa vijana kuwaogopa wamama wenye umri mkubwa yaani (CHAMATA).
Amebobea kwenye T3 Yaani Vigezo vya kufanya mwanamke kuwa mshangazi.
Licha ya mafanikio ya kimataifa,
Poor Brain ana ndoto ya kumiliki mshangazi wenye pesa na mvuto nchini Malaysia na kuongeza ufahamu kuhusu vitisho vya vigogo wenye mali hizo.
Safari ya kuwa mpenda mashangazi ilianzia kipindi yuko darasa la Saba kupitia Marafiki wa mama yake @mshangazu dot com na free courses za YAKUZ BIN YAVUZ.