smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,066
Acheni mashala nchi ilikuwa sahihi kabisa, huo ndo ujamaa na kujitegemea unao takiwa, si mliukubali? Unalialia humu nini sasa
huo ni unafiki
Tatizo wabongo mwapenda dezo za nchi za wanaume wa kizungu kirahisi mnoo. halafu mnaogopa dezo za wake zenu matajiri eti mke tajiri ana nyanyasa...mbona hamueleweki?
hamna viwanda vya kutengeneza bidhaa mnazo taka. anzisheni vyenu, ili weupe nao waige, ambapo ndo Julius alilenga twende kiviwanda viwanda..alisema '' tufunge mkanda'' mkashangilia! sasa je
kwani leo mna raha gani? Bongo leo maji mwanywa ya visima vifupii vya mavi ,hamna kazi,elimu duni tu, UDA ,VIWANDA mmeshindwa nk,
usijiangalie wewe tu,angalia wlio wengi
kuhusu mke wa mtu kutembea na mgambo. hata leo wanapigwa na boda boda sana. na wauza magenge siyo wote lkn wengi.
Naenda zangu mie!
huo ni unafiki
Tatizo wabongo mwapenda dezo za nchi za wanaume wa kizungu kirahisi mnoo. halafu mnaogopa dezo za wake zenu matajiri eti mke tajiri ana nyanyasa...mbona hamueleweki?
hamna viwanda vya kutengeneza bidhaa mnazo taka. anzisheni vyenu, ili weupe nao waige, ambapo ndo Julius alilenga twende kiviwanda viwanda..alisema '' tufunge mkanda'' mkashangilia! sasa je
kwani leo mna raha gani? Bongo leo maji mwanywa ya visima vifupii vya mavi ,hamna kazi,elimu duni tu, UDA ,VIWANDA mmeshindwa nk,
usijiangalie wewe tu,angalia wlio wengi
kuhusu mke wa mtu kutembea na mgambo. hata leo wanapigwa na boda boda sana. na wauza magenge siyo wote lkn wengi.
Naenda zangu mie!