Umalaya wa Mwalimu wamgeuza ombaomba Dar


asante mkuu kwa maelezo mazuri.................... ngoja nisubiri uthibitisho zaidi..................... pole sana kwa msiba wa GS!................ mimi sijapoa kabisda kaka................
 
Malaya hawazalishwi hovyo hovyo kama huyu mama. Huyu mama ana matatizo ya akili na mbaya zaidi kama jamii(mimi na wewe) tukiwemo hatujaamua kumsaidia kutoka hapo alipo...tumebaki kutegemea utashi wake tu....wengi wanasema alipewa hiki au kile akakataa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…