Umafia wa CCM wafichuka

Umafia wa CCM wafichuka

dr mihogo alisema lowassa hakuja na watu wa maana zaidi ya bodaboda...hi ni dharau sana kwani baodaboda si watu?
yaan mungu awaumbe watu leo dr.mihogo anaona hawana haki ya kuheshimiwa utu wao kisa wanaendesha bodaboda
 
Mtu kapewa kofia tu na kanga anasahau majanga yote aliyonayo hv nani kawarogaaaaaa
 
Nguvu ya ubwabwa ni balaa hivi kuna nini mbn hakuna tofauti na ugali
 
A luta Contiua.. Hapa ni mpaka kieleweke, Haturudi nyuma.
 
Mtu kapewa kofia tu na kanga anasahau majanga yote aliyonayo hv nani kawarogaaaaaa

kaka shida ni umaskini wa kichwani. Kule tanga wazungu walikuwa wanakuja na kuwapa wazee vioo vya kujiangalia, alafu wanachukua Almasi.

Iyo laana inaliangamiza taifa mpaka leo, kanga.kofia.chumvi.na elf2 zinawafanya watanzania baadhi kuishabikia ccm.

Hili ni janga la taifa, ndiyo maana lowassa ametoa kipaumbele cha kwanza. Elim.elim.elim.hapa ndio ccm ilipowekeza ujinga ndani ya watu ili kuwatawala.
 
bANGI TU ZINAWASUMBUA HAMNA KITU, CCM USHINDI ASUBUHI NA MAPEMA
 
Ha,ha,haaaa! wazee walikuwa wanachia almasi kwa viyoo! kweli elim,elim,elim ujinga ni mzigo kha! sasa hivi hata vitoto vya miaka miwili vinajua Tanzania inahitaji mabadiliko.
 
Fungua akili yako fikili kwa mapama kila unapokutana na mtu anashabikia ccm au alikuwa upinzani sasa leo anatetea ccm chambua sana mawazo yate.

Ukiona mamlukia anaongea utaaikia maneno ya kuponda ukawa ktk maneno yote anayoyaongea kuna mambo atakuwa anajichanganya haya mambo ndio uyachambue.

Mwl Julias Nyerere alisema upinzani wa kweli utatoka chama tawala. Mzee huyu hakiwa Mungu bali yeye ni miongoni mwa watu waliokiinjinia chama hicho CCM hivyo alikuwa anafahamu maafisa waliotumwa kujifanya wapinzani kwa lengo la kulinda CCM.

Eti unaenda kanisani kutubu kwa padri unataja nililuwa mwizi ndani nina mbuzi wa wizi baada ya siku mbili polisi wamevamia kwako na kupekua.

Watanzania huu mwaka ni wetu tuwang'owe huu mfumo CCM uliojaa kiburi,wala rushwa na mafisadi na mizaha za kulindana kuchaguana kwa lengo la kulindana ktk mabiashara ya wakubwa

UKifika Mwanza unaweza hata usisikie njaa kila kona ni Lowassa na Wenje.Imefikia mahala huyu jamaa wa magamba ameamua kukaa kimya na kucheza zile mbinu za miaka yote za magamba bukubuku/dasidasi/tenten chaajabu kila raia anasema wazilete tuzile ni kodi zetu zilichotwa kupitia ESCROW.

Dalili hizi ni kwamba wenje na lowasa wameshapita bila kupingwa

Mwaka 2005JK akiwa ktk kampeni mwanza alisema ****unakuta dr anaingia kazini na kuacha koti ofisini nipeni kura nikawashugulikie*****baada ya kupewa tatizo likaongezeka sasa dawa hakuna hosptal leo hii hii CCM inarudia kutumia uchafu huohuo ili kuhadaa wananchi.

Maana yake ni kwamba CCM inalea matatizo mengi ili kipate mtaji ktk chaguzi haiwezekani chama kilichopewa ridhaa ya kuunda serikali kinayafahamu matatizo kinayalea na kuyakumbatia.

Wwatanzania tusichezewe akili na magamba tuyaoneshe mwaka huu kuwa sisi sio wa kupakiza kwene malori kama unapeleka ng"ombe mnadani

Pia JK alisema angelishugulikia mafisadi na kuyafunga wapi?maana ukitaka kukomesha ufisadi nchii hii lazima uanze na magwiji wa ufisadi Mkapa na JK na Kinana.

Mabadiliko yasipotoshwe,mabadiliko ni kuuondoa mfumo CCM uliolea na kukuza matatizo ya rushwa na ufisadi.

Huu ni mwaka wa kuajiri mfumo mpya wa UKAWA kupitia CHADEMA watanzania tusifanye utani tukikosa mwaka huu tutajuta maana ccm yamebakia maroho ya madaraka tu na wezi kibao

Kupasuka kwa CCM mwaka huu iwe faida kwetu kukiondoa choo (kwa mujibu wa Dr. Slaa) hiki kwa manufaa ya vizazi vingine.

Maisha bora kwa kila mtanzania=hapa kazi tu=kasi mpya nguvu zaidi=kuhadaa wajinga

Hivi unaelewa nini maana ya umafia wewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom