Umafia wa CCM kwa kushirikiana na NEC

Umafia wa CCM kwa kushirikiana na NEC

Geza Ulole

Platinum Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
75,731
Reaction score
107,175
Mi naomba kuuliza hivi taratibu za kuchukua fomu za kugombea ubunge haziambatani na vyeti vya kuzaliwa? inakuwaje mpk Mgombea anaporudisha fomu na baada ya pingamizi ndo suala la vithibitisho vya uraia linajitokeza?

Kwa harakaharaka tu ukipewa masaa 24 utoe cheti chako cha kuzaliwa haiingii hakilini hata kama ulizaliwa Hospitali maana procedure za kukipata ni zaidi ya wiki na kama ilitokea hukuzaliwa hospitali ina maana umetolewa katika kinyang'anyiro, kwa vile hata huo muda wa kukusanya mashahidi yaani wazee wanaojua wazazi, babu, bibi na manyanya wako hautoshi na haswa ukizingatia masuala kama ya Wajumbe, Makatibu Kata ni anga za CCM!

Pia watu wengi uhama toka mahali walipozaliwa kujitafutia riziki! Jamani au hii ndo ile sababu ya kuchelewesha vitambulisho vya uraia? ili Chama cha Majambawazi wavune viti kwa ubua? Mungu awalaani CCM hii si Demokrasia! Hii ni uharamia CCM angalieni tu ipo siku watu wataingia Misituni!
 
Mi naomba kuuliza hivi taratibu za kuchukua fomu za kugombea ubunge haziambatani na vyeti vya kuzaliwa? inakuwaje mpk Mgombea anaporudisha fomu na baada ya pingamizi ndo suala la vithibitisho vya uraia linajitokeza? Kwa harakaharaka tu ukipewa masaa 24 utoe cheti chako cha kuzaliwa haiingii hakilini hata kama ulizaliwa Hospitali maana procedure za kukipata ni zaidi ya wiki na kama ilitokea hukuzaliwa hospitali ina maana umetolewa katika kinyang'anyiro kwa vile hata huo muda wa kukusanya mashahidi yaani wazee wanaojua wazazi, babu, bibi na manyanya wako hautoshi na haswa ukizingatia masuala kama ya Wajumbe, Makatibu Kata ni anga za CCM! na pia watu wengi huama toka mahali walipozaliwa kujitafutia riziki! Jamani au hii ndo ile sababu ya kuchelewesha vitambulisho vya uraia? ili Chama cha Majambawazi wavune viti kwa ubua? Mungu awalaani CCM hii si Demokrasia! Hii ni uharamia CCM angalieni tu ipo siku watu wataingia Misituni!

Ni mbinu chafu kwa kushirikiana na Jaji Lewis na bwana Rajabu. Pia katiba ya nchi yetu ni ya ovyo, yaani mgombea hasipokuwa na mpinzani basi kura zinazopigwa kwa ajili ya rais kwenye jimbo hilo basi zinaenda na kwake!!! Hakuna haja ya kuingia msituni zaidi ya kuingia mtaani kama Iraq na kutumia suicide bombing style!!! Au RSA - South Africa!!
 
Back
Top Bottom