Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,731
- 107,175
Mi naomba kuuliza hivi taratibu za kuchukua fomu za kugombea ubunge haziambatani na vyeti vya kuzaliwa? inakuwaje mpk Mgombea anaporudisha fomu na baada ya pingamizi ndo suala la vithibitisho vya uraia linajitokeza?
Kwa harakaharaka tu ukipewa masaa 24 utoe cheti chako cha kuzaliwa haiingii hakilini hata kama ulizaliwa Hospitali maana procedure za kukipata ni zaidi ya wiki na kama ilitokea hukuzaliwa hospitali ina maana umetolewa katika kinyang'anyiro, kwa vile hata huo muda wa kukusanya mashahidi yaani wazee wanaojua wazazi, babu, bibi na manyanya wako hautoshi na haswa ukizingatia masuala kama ya Wajumbe, Makatibu Kata ni anga za CCM!
Pia watu wengi uhama toka mahali walipozaliwa kujitafutia riziki! Jamani au hii ndo ile sababu ya kuchelewesha vitambulisho vya uraia? ili Chama cha Majambawazi wavune viti kwa ubua? Mungu awalaani CCM hii si Demokrasia! Hii ni uharamia CCM angalieni tu ipo siku watu wataingia Misituni!
Kwa harakaharaka tu ukipewa masaa 24 utoe cheti chako cha kuzaliwa haiingii hakilini hata kama ulizaliwa Hospitali maana procedure za kukipata ni zaidi ya wiki na kama ilitokea hukuzaliwa hospitali ina maana umetolewa katika kinyang'anyiro, kwa vile hata huo muda wa kukusanya mashahidi yaani wazee wanaojua wazazi, babu, bibi na manyanya wako hautoshi na haswa ukizingatia masuala kama ya Wajumbe, Makatibu Kata ni anga za CCM!
Pia watu wengi uhama toka mahali walipozaliwa kujitafutia riziki! Jamani au hii ndo ile sababu ya kuchelewesha vitambulisho vya uraia? ili Chama cha Majambawazi wavune viti kwa ubua? Mungu awalaani CCM hii si Demokrasia! Hii ni uharamia CCM angalieni tu ipo siku watu wataingia Misituni!