Uliza chochote kuhusu DUCE

Sikutanii mkuu, ilo nmelithibitisha, kuna mmoja ameyaona maji ya baharin kwa mara ya kwanza baada ya kufika 3rd year
Mmh. Kwani tatz ni nn, ikiwa kila mwaka wanaingia watu wapya? Inamaana duce wanachaguliwa watu waaina hyo tuu. Sitaki kuamini mkuu!

Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
 

Haya ni majina a UDSM tunataka DUCE ama hichi chuo ni kimoja? tufafanulie mkuu tunaomba
 
wakuu mbona majina hayafunguki yote!?tatizo lipo wap!
 
Acha ujinga, soma hiyo post between the lines sio unakurupuka tuu, umetumwa nini?
Umesema uulizwe chochote juu ya duce. Nami nimekuuliza , wewe ndio msemaji wa duce? Toa jibu si umesrma uulizwe chochote, ?
 
Sikutanii mkuu, ilo nmelithibitisha, kuna mmoja ameyaona maji ya baharin kwa mara ya kwanza baada ya kufika 3rd year
umesema ukweli. kabisa hasa wale wanaosoma science pale balaa sana
 
Umesema uulizwe chochote juu ya duce. Nami nimekuuliza , wewe ndio msemaji wa duce? Toa jibu si umesrma uulizwe chochote, ?

Ndomaana nikakuambia badala ya kunusa tu title na kukurupuka, pitia tena andiko langu hapo juu
Au lugha nayo tatzo?

Nawapongeza sana kwa kupata nafasi hii adimu na karibuni sana Chuo kikuu.
Kama una swali lolote feel free kuuliza, I'm continuous student at DUCE
Karibu.
 
Mmh. Kwani tatz ni nn, ikiwa kila mwaka wanaingia watu wapya? Inamaana duce wanachaguliwa watu waaina hyo tuu. Sitaki kuamini mkuu!

Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app

Ukifika vimbweta vya library ,mdegree , peasant , magazetini kote kumejaa semester nzima . Yaan watu hawa relax mkuu. Hiv ndio usomaji gan ule
 
I'm continuous student at DUCE
Daaah! Kama nyie ndo walimu basi hakuna chochote hapo. Kulikua na haja gani ya kuandika Kingereza ambacho hukijui vizuri? Ungeandika tu Kiswahili.
 
Ukifika vimbweta vya library ,mdegree , peasant , magazetini kote kumejaa semester nzima . Yaan watu hawa relax mkuu. Hiv ndio usomaji gan ule
pamoja na kusoma kote huko bado nakumbuka dokta flani alikamata nusu ya darasa l letu
 
Msiwatishe sasa madogo waje wajionee wenyewe..😀
 
I'm continuous student at DUCE
Daaah! Kama nyie ndo walimu basi hakuna chochote hapo. Kulikua na haja gani ya kuandika Kingereza ambacho hukijui vizuri? Ungeandika tu Kiswahili.
Kuna tatzo gan kwny hyo sentence mkuu, mbona unatokwa povu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…