Jamani nimepotelewa na Mbwa wangu! Mara ya mwisho nilikua naye maeneo ya Arusha mitaa ya Sakina viwanja vya La Piano Club saa 3 za usiku. Atayemuona tafadhali naomba aniPM ili nimpe contact zangu zawadi nikama nilivyoidhinisha hapo juu na picha yake ni kama mnavyoiona na alikua amevaa hivi hivi!