Uliwezaje kumshawishi mwanamke bikra

Uliwezaje kumshawishi mwanamke bikra

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,383
Reaction score
7,969
Baada ya kuumizwa na kuachwa kisa pesa Inauma sana kuachwa sababu hauna pesa - JamiiForums
sasa nimepata mwanamke ambaye naona kwa kiasi kikubwa ananipenda ameniambia ananipenda mimi jinsi nilivyo hata kama hakuna pesa tutatafuta wote ata pesa huwa haniombi tumekuwa kwa wiki tatu mpaka sasa naona anafaa kuwa mke pia
Story zake nyingi yeye huwa kuhusu maisha huwa ananambia anapenda kuzifikia ndoto zake
Lakini kingine nachokifikiria zaidi hasa kaniambia bado ni bikra kwahiyo yeye hichi kitu cha mahusiano analiona ni kitu kigeni pia muoga wa haya mambo ana miaka 22
Bado sijamuomba mapenzi nampa muda ila natamani sana hii bikra niitoe mimi mwenyew ila hofu yangu ni hii kutokana na uoga wake sijui naweza nikafanikiwa vipi kumtoa
mana asije ikatokea ghafla tu jamaa mwingine kapita kamshawishi akamtoa yeye mana hivi vitu nilishawahi kuviona
mnisaidie wajuzi kutoa bikra mlifanikiwa vipi
 
Unataka Kutoa Bikira? Au Kuoa?
Halafu Huyo Demu Inawezekana Siyo Bikira Wala Nini, Anakitu Tu Anakitaka Kwako.
 
Sasa hapo nitakuwa kama nambaka mkuu
kumtoa manz bikra so rahis wew kama m2 alivozoea mm nshawatoa kam watatu wote staili ni iyo iyo anaumia unambembeleza yanaisha kama anakuoenda kweli no another way ukimuonea huruma io bikra watatoa wataalam utaishia makombo
 
Hahaha!! 😀😀😀 hii thread imefanya nikumbuke mbalii.
Hadi sasa nimefanikiwa kutoa bikra kwa waschana wawili ila sio kazi ndogo mkuu na ukitegemea eti akubali yeye mwenyewe watatoa wenzio hiyo bikra na utaambulia patupu.
 
Kivipi hapo sikumuomba direct story za hapa na pale mimi lengo langu kumuweka kiakili vizuri pia anazoee kabla sijamwingilia
Acha kupoteza muda kijana... Chelewa chelewa utakuta mwana si wako
 
Mkuu nakupa maujuzi ila yatakusaidia kama utakuwa nageto lako mwenyewe yaani uishi nawazazi wako wala kwamjomba wala kwashemeji wala kwamshikaji, kama unavigezo hivyo nijibu ili niendelee
 
Hahaha!! 😀😀😀 hii thread imefanya nikumbuke mbalii.
Hadi sasa nimefanikiwa kutoa bikra kwa waschana wawili ila sio kazi ndogo mkuu na ukitegemea eti akubali yeye mwenyewe watatoa wenzio hiyo bikra na utaambulia patupu.
mwambie kijana afanye chap
 
Mkuu nakupa maujuzi ila yatakusaidia kama utakuwa nageto lako mwenyewe yaani uishi nawazazi wako wala kwamjomba wala kwashemeji wala kwamshikaji, kama unavigezo hivyo nijibu ili niendelee
Na geto ndio nimepanga
 
Back
Top Bottom