Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,706
Serikali lazima iweke uwazi, kodi za majengo zinatakiwa zilipwe kulingana na thamani ya jengo husika na thamani ya majengo huongozwa na hadhi ya sehemu husika.
Mfano jengo la Kariakoo haliwezi kuwa sawa na jengo lilipo kijiji cha Nyanshozi.
Kwa miaka yote kodi za majengo ziliishia kwenye halmashauri za wilaya na miji.
Sijawahi kusikia kodi za majengo kwa halmashauri za vijiji.
Jafo anatakiwa kujua , tangazo lako litaishia kumchafua mh Rais.
Tunaomba bunge liingilie kati,
Mwananchi wa kijijini amejipiga kanunua bati 5 kajenga nyumba yake ya tofali za kuchoma leo mnamtaka alipie 10,000.
Hizo kodi chukueni huko mijini, vijijini tuacheni kabisa na hatuta lipa labda mtufunge.
Mfano jengo la Kariakoo haliwezi kuwa sawa na jengo lilipo kijiji cha Nyanshozi.
Kwa miaka yote kodi za majengo ziliishia kwenye halmashauri za wilaya na miji.
Sijawahi kusikia kodi za majengo kwa halmashauri za vijiji.
Jafo anatakiwa kujua , tangazo lako litaishia kumchafua mh Rais.
Tunaomba bunge liingilie kati,
Mwananchi wa kijijini amejipiga kanunua bati 5 kajenga nyumba yake ya tofali za kuchoma leo mnamtaka alipie 10,000.
Hizo kodi chukueni huko mijini, vijijini tuacheni kabisa na hatuta lipa labda mtufunge.