Well said bro! Nakuunga mkono mkuu, kwenye maisha siku zote hutakiwi kua second choice au second option ya mtu hasa kwenye mahusiano,, ni kweli unaweza kua unampenda mtu lakini lazima watu wajifunze kua na limit na conditions ,, sio kisa unampenda mtu basi ndo unaenda kichwa kichwa bila kushirikisha ubongo..Hii kitu ya kufanywa "rebounding balls" hata Kama position ya "kufunga" ipo naipinga kishenzi potelea mbali Kama utaniita mwanasiasa wa mapenzi lakini aliyekukataa akaenda huko alafu akatumia na wengine alafu akagonga mwamba alafu akiwa anarudi "kujitafuta" akutane na wewe aliyekuacha alafu umkumbushe ile Nia yako...Isee hapana!
Lengo sio kufunga Bali ni mchakato wenyewe Kuna Raha ya kuuangalia mchakato wenyewe wa kupatikana kwa goli bwana...Mimi kuwa rebounding guy hapana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaaAcha ufala wewe.....
Mkubalie aje Jumamosi kisha piga vizuri.... na mfulishe nguo kabisa.
Akishaondoka kwako zima simu na umkatie mawasiliano.
Huyo hakupendi hata kidogo maisha yamempiga anajitongozesha.
Wakati wa kumwaacha kuwa makini maana maisha hayahitaji hasira.
Wewe hujaona wenye chura ukaoa??Mimi siwezi kukosa furahaa kwa sababu ya tamaduni za kipuuzi.Ndugu zangu walinilazimisha nioe eti kisa nazeeka,nikawaambia ninyi ndiyo mnakuja kuishi na huyo mwanamke au ni mimi?Sasa hivi wamenitenga eti kisa sitaki kuoa,yaani maisha yangu binafsi yanaingiliwa na watu kisa ni tamaduni!
Nikimpata cute b nami roho yangu itapona!Wewe hujaona wenye chura ukaoa??
Hahah tafuta mwingine bwana.Nikimpata cute b nami roho yangu itapona!
Mimi nataka chura ya CUTE bπππHahah tafuta mwingine bwana.
Mchukue financial services ana chura safiii.
Namimi sitaki kipara chakoππMimi nataka chura ya CUTE bπππ
Sina chura mimi mkuuHahah tafuta mwingine bwana.
Mchukue financial services ana chura safiii.
ile english figure siitaki!πββοΈπββοΈπββοΈNamimi sitaki kipara chakoππ
We huwezi kuiona.Sina chura mimi mkuu
hamna namna[emoji23]Duuh "kama ambulance" [emoji28][emoji28][emoji28]