Ulishawahi kuweka hiki kitu?

Ulishawahi kuweka hiki kitu?

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
12140755_1339860086028406_14795815016981153_n.jpg
 
Dah mkuu umenikumbusha shule ya msingi. Kweli maisha hayarudi nyuma
 
Sijui hasa lengo lilikuwa ni nini ingawa nami ni muhanga wa hii kitu
 
hahaha hiyo shule za msingi na sekondari zimepigwa sana , halafu unakuta shati limewekwa bluu .
 
Wah...those days ndo ilikua fashion af ukute shati limepimpiwa na blue kwa mbaali..full kutokelezea!
 
Sana tu wakati nipo kuanzia la tano mpaka la Saba, nilikuwa naweka hiyo au mistari miwili, bila kusahau blue ili kuongeza umaridadi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom