Ulishawahi kuwa na munkari wa penzi?

Ulishawahi kuwa na munkari wa penzi?

Lovebird

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2012
Posts
6,662
Reaction score
9,974
hutaki kuwa mtu wa zinaa wala kuikosea nafsi yako

munkari unakuamka ghafla, unakuwa kama mbwa aliyehisi harufu ya sungura porini, akanza kutafuta inatokea wapi
huwezi lala, asubuhi unaiona haifiki


kwa hali hii wandugu unafanyaje? nisaidieni
 
Vp kwan ww zmekupanda sana hzo nyege? Ukinijibu hapo ntakwambia
 
That's is what your made of usipokuwa na hisia za mapenzi utakuwa kitu gani? Its good to feel that way... But is doesn't mean you have to go wallowing searching for sex
Remember abstaining is not a resort kama unataka kuishinda zinaa u must have sex, legally!
 
Unaamka unapiga push ups 15, then unaingia bafuni unaoga.
Au unachukua biblia na kuanza kusoma, baada ya kupiga magoti na kusali.
Au vyote kwa pamoja.
Good advice
 
Hiyo scenario nionavyo mimi...kama uko alone Puri inafuata
 
tafuta m.mme akugegede.... sory ni jinsia gani vile?
 
Ni tatizo sana kua bachelor sometimes kuolewaa kuna raha yakee
 
Back
Top Bottom