EEX
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 3,094
- 9,518
Mwezi wa 12 nilikuwa likizo maskani. Ghafla usiku nikiwa nimelala nikahisi pua na mdomo havifanyi kazi kule kuhangaika nilisimama, wima nikapita na kaneti.
Muungurumo nilioutoa nyumba nzima waliamka. Nikawa nalala kwenye kochi tu. Kama ndio roho huwa inatoka vile. Kazi ipo.
Muungurumo nilioutoa nyumba nzima waliamka. Nikawa nalala kwenye kochi tu. Kama ndio roho huwa inatoka vile. Kazi ipo.