Ulishawahi kunusurika kifo? Ulijisikiaje vile unaona kabisa unaondoka

Julai 2022 nilipata ajali ya pikipiki Taya zote juu na chini zilivunjika, nilizima siku 3 nikiwa nimelazwa Benjamin mkapa Dom. Mpaka Leo nimepona ila sijui Nini kilitokea nakumbuka kweli nilifika eneo la tukio ila kilichotokea nasimuliwa tu. Kule kuzima siku tatu nimekuja kujua kweli aliyekufa hajui chochote hakuna Cha Raha Wala maumivu ni kimya.
Pole mkuu
 
Niliwahi kuharisha maji mfululizo nikiwa kikazi maporini kana mara 10 hivi,nikahisi naishiwa nguvu,nikakimbikia kwa wenzangu wakanipa kiti nikae,ghafla nilihisi kama mlio wa uluzi kwenye masikio,macho yakafunga,sikujua kilichoendelea,baada ya kama dkk 4 nikashtuka wameniwagia maji mwili mzima,nikatapika mara moja ndio nikajisikia vizuri na kuharisha kulikua kumekata,mpk leo sijui hasa ilikuwa ni kitu gani,lkn kesho yake nilipimwa nikakutwa na malaria nikaanza dose...
Ulizimia wewe
 
Let me guess. Ulikula ulashiba ukalalia tumbo na kwa muda mrefu cakula/majimaji yakawa yanarudi kama mtu anae tapika na hivyo kuziba sehemu hewa inapopita. Ktk kustuka na kupambana kupeleka hewa kwenye mapafu ndipo ukatoa huo muungurumo. Nlicho andika hapo kilinikuta niliamka ghafla sipumui nikaona gizagiza lwa sababu ubongo haukwa supply ya kutosha ya hewa

Majimaji yakavuja kwenye pua ndipo nikajilazimisha kuvuta hewa kwa nguvu kupitiaa mdomo na nikatoa muungurumo kama huo

Je scenario yako ni kama hiyo?
Ukishiba Sana huwa Ni hivyo ole wako ulale chali halafu ucheue kidogo virudi...acha kabisa speak from experience
 
Uongo huu, mnazani nyie pekee ndo mmefany hivi, nilipiga bao 8 mwaka 1997, toka saa 3 mpaka 9 hivi, nikawa mwepesi, baada na Kizungu zungu, baada ya supu, na kuupa mwili nguvu kutengeneza energy kwa kulala, nikaamka mpya.
😂😂haupingwi
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Back
Top Bottom