lol uwiiiiiihBonyeza: Hey SIRI!
Siwezi hesabu ila nimejenga nyumba na nina gari langu mwenyewe na ninasomesha watoto, vipi, wewe bado unawaza mademu mpaka ushindwe kulala?2010 aisee!!
Nina watoto kama wewe binti, hizo future na hela ulizotafuta umepata ngapi?
Hahahahahahaha yamekuwa hayo tenaNi bora kuliko yule mpumbavu aliyenipotezea muda wangu bure! Sasa hivi sitaki hata kumsikia..wanawake hawanaga fadhila
Siwezi hesabu ila nimejenga nyumba na nina gari langu mwenyewe na ninasomesha watoto, vipi, wewe bado unawaza mademu mpaka ushindwe kulala?
Usihofu, nipigie simu tu....utakuja kucomment hapa baadayeNa tusiowahi kuwa na mahusiano tuna comment wapi?
Okay labda mimi ni wa jinsia ya sayari ingineTrust me...wewe sio wa jinsia hii
Leta mrejesho sasaLeo nina kila dalili za kukesha, nitaleta mrejesho!
Harafu unajikuta spiderman ety babu?
Umri sio miaka, uzee ni hazina!