Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,508
- 27,003
Bwana bwana!
Enzi za uhai wangu, longalonga time na tigo. Unatega alarm ikuamshe saa NNE usiku, full kujiachia unaambiwa ni bure baada ya dakika TATU. Mkichoka mnapumzika bila kukata simu, ikitokea imejikata au mtandao wanakata kila baada ya LISAA basi unamaindi kinyama!
Basi bwana, siku moja tu ninayoikumbuka. Tumeongea na kuchat sana mpaka asubuhi, unajua asubuhi wewe?
Enhee hiyo hiyo, bila kulala kabisa. Kwangu ilikuwa ni saa moja ambapo 'mtoto' alichofanya ni kuoga na kuja tupumzike wote baada ya mkesha.
Penzi jipya lina wazimu wake.
Ulishawahi kukesha?
Enzi za uhai wangu, longalonga time na tigo. Unatega alarm ikuamshe saa NNE usiku, full kujiachia unaambiwa ni bure baada ya dakika TATU. Mkichoka mnapumzika bila kukata simu, ikitokea imejikata au mtandao wanakata kila baada ya LISAA basi unamaindi kinyama!
Basi bwana, siku moja tu ninayoikumbuka. Tumeongea na kuchat sana mpaka asubuhi, unajua asubuhi wewe?
Enhee hiyo hiyo, bila kulala kabisa. Kwangu ilikuwa ni saa moja ambapo 'mtoto' alichofanya ni kuoga na kuja tupumzike wote baada ya mkesha.
Penzi jipya lina wazimu wake.
Ulishawahi kukesha?