Ulishakutana na mwanamke wa hivi?

Ulishakutana na mwanamke wa hivi?

Atukuzwee

Senior Member
Joined
Aug 6, 2017
Posts
150
Reaction score
281
Wadau ushakutana na mwanamke yaani ukituma message lazima apige na usipokea ni mzozo , mnachati message mbili ya tatu anapiga .. hii inakera saana

Hawa huwa una deal nao vip maana nimeshaongea nimechoka
 
Huna kazi, ukiwa busy mwanamke anapiga simu za kipuuz unamblock baada ya week una mu unblockk unamwambia asipende mambo ya usumbufu. Anakuelewa
 
Kijana sio wote wana penda kuchat wengine wana penda waongee waendelee na shughuli zao sasa wew form six deal na watoto wa form 4
 
Kijana sio wote wana penda kuchat wengine wana penda waongee waendelee na shughuli zao sasa wew form six deal na watoto wa form 4
Noo mimi nafanya kazi so kuna mda niko job anapiga simu na hana la maana la kukuambia yaani
 
Wadau ushakutana na mwanamke yaani ukituma message lazima apige na usipokea ni mzozo , mnachati message mbili ya tatu anapiga .. hii inakera saana

Hawa huwa una deal nao vip maana nimeshaongea nimechoka
Sawa tu, kwasababu kuna watu kuchati mpaka apate muda mzuri, mimi mwenyewe kuchati sipendi napenda tuongee tumalizane, ila kutumia nusu saa mnarushiana SMS inakunyima kuwa kuwa kwenye platforms zingine.
 
Inategemea mnachati Nini?kama Ni SMS za kimahaba Zaidi angalau zinavumilika,sasa SMS kavu kavu zenye lugha ngumu muda wa Kazi za Nini?
 
Natulia kwanza nionje mzigo nikipiga ndo namwambia aache mambo ya kiduanzi
 
Mpatie mdada yeyote apokee simu halafu amwambie huyo demu wako kuwa "fulani" (wewe) yuko bize halafu akate simu. Hatorudia tena kukupigia.
 
Kuna mtu hapa nimemshirikisha swala lako amesema eti ana ku-set ujae kwenye mfumo.
 
Back
Top Bottom