Uliona wapi?

Uliona wapi?

Its okay kuwa housewive......lak3kmi kuwa househusband sijawahi kusikia. If you know what I mean
 
Hizi mada hizi zimekuwa nyingi! Hakika liko tatizo mahali!
U can't go against Nature! period
 
ukiona hivyo ujue liko tatizo ndo maana mada hizi tunazitoa hapa ili wale ambao wanafanya hivi wajirekebishe na kuchukua hatua madhubuti za kutoka hapo mkuu usishangae sana mambo haya yapo kabisa hapa duniani
Hizi mada hizi zimekuwa nyingi! Hakika liko tatizo mahali!
U can't go against Nature! period
 
Kamada kazuri sana., but napenda kuliweka hili wazi na hakika lipo ingawa kuna watu watajaribu kulipinga, wanawake wengi walio ndani ya ndoa wana ubinafsi sana, unakuta mnafanya kazi kila mmoja ila hela ya mwanamke ni chungu sana, mwanamke akinunua kitu utasikia hiki ni changu, ila cha mwanaume anakiita cha kwetu, hili jambo liko kwenye ndoa nyingi sana na linawatesa sana wanaume, kuna baadhi ya wanaume ili kulinda ndoa wanaacha kuhoji vipato vya wake zao, hebu imagine mwanamke anafanya kazi labda analipwa 500,000 per month, but bado expenses za saloon, nguo na mengineyo anadai toka kwa mwanaume, na bado matumizi ya nyumbani, ukimuuliza anasema oh sijui nimemtumia mama mara kuna kitchen part nimetoa mchango agh yani bac tu.
 
Kumbe kuna watu kazi kunoa dushe kilakitu analetewa!invoice mwisho wa mwezi anakinga na papuchi juu yake anapata!Raha!
 
Maisha ni kusaidiana
Itokee tu umekosa na sababu zinaeleweka, na sio kujibweteka
 
kweli daddy ukijitambua na ukatambua nafasi yako ni ipi utafanya pale kwenye nafasi ya ko na kudumisha familia

cousin mwanamke kua tegemezi haina shida sana
maana letu sie kuzaa kwa uchungu,ila haooo
wa kula kwa jasho kua tegemezi ndio majangaa!

 
ni kweli bestito kwani sisi tunamajukumu mazito ya kulea familia na watoto nayo ni kazi nzito sana
ila hawa ndugu zentu wanaume wao wanapenda sana kulelewa hawatafuti wala hawajisumbui ku
kutoka katika lindi walilonalo wao wanaona ni sawa kulelewa tu wajirekebishe

cousin mwanamke kua tegemezi haina shida sana
maana letu sie kuzaa kwa uchungu,ila haooo
wa kula kwa jasho kua tegemezi ndio majangaa!

 
ni kweli besti wajirekebishe kwani wamezidi tena siku hizi vijana wengi wanapenda mteremko wakisia bibie ana vitu basiiiiiiiiiiii watamganda mpaka atakiona cha mtema kuni wajirekebishe bestito ndo maana nimewapa live hapa
Uliona wapi mwanaume analelewa???? jitekebisheni nyie watu
 
Kwa hiyo hao uliowacopia ndo wanahizo tabia kumbe?

Naomba wajirekebishe mapema maana tushawajua ho kina 'uliona wapi?'
 
Hawana matatizo yoyote ni marafiki zangu nimewatag iili waje kuleta hoja zao hapa mkuu usibadilishe maana ya thread hii
kwa hiyo hao uliowacopia ndo wanahizo tabia kumbe?

Naomba wajirekebishe mapema maana tushawajua ho kina 'uliona wapi?'
 
Nimeipenda Ni kwel jamani kuna baadh ya wanaume mpaka wanakua kero yan af mpaka hapo bado anajiita eti ye kichwa cha familia ha haa
 
Back
Top Bottom