cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 651
Habari,hawajamaa wako sharp sana kudai pesa za ulinzi shirikishi lakini mtu unapibiwa hawaonekani na wanakuwa wakali mimi duka langu limevujwa nawao kila mwezi wanachukua hela ya ulinzi sasa nani atawajibika katika hili?