Ulinitesa sana, sababu nilikupenda

No halaf akasamehe sjui warudiane huko ndio namaanisha
 
swadaktaaa, wengi hawaamini wanapo ambiwa ukweli. ukiwadanganya ndio wanaamini
Naona mtu na msemaji wake mmeanza kutofautiana ....

Haya endeleeni kudanganyana...
 
mhusika nikajua ni Ke....mpaka paragraph ya mwisho ndiyo nimeona kumbe ni Me.......usimrudie atakuchapa tena vibao
 
Mkuu katest uone kama kiporo kimechacha ama laa, kama hakijachacha pasha kula na chai ya tangawizi
 
Mwanaume ukapigwa kibao, ukakaa chini ukaendelea kulia[emoji51][emoji51].

Kuna shida juu ya uumbaji wako
 
Mwanaume ukapigwa kibao, ukakaa chini ukaendelea kulia[emoji51][emoji51].

Kuna shida juu ya uumbaji wako
nililia baada ya yeye kuondoka sio kama nililia kwa sababu kibao kiliuma. nililia usaliti
 
Naona mnatengenezeana mazngra ya kukumbushiana enz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…