Ulimpataje best friend wako?

Mimi nilikutana naye Jkt kwa mujibu wa sheria tulikuwa kombania moja sasa mbali na doso la Jkt bado kabla ya kuoga lazima nipige tizi boxer sasa yeye alikuwa anapenda sana hivyo akaomba niwe namfundisha fundisha ndio ikaanzia hapo.

Tukaja kukutana naye tena chuo tukawa washikaji hadi kuwa marafiki ambao tuko kindaki Ndaki sana hata baada kumaliza chuo licha ya umbali kidogo lakini bado tuko pamoja
Aluta Continua.
 
Just Mungu huleta watu kwako kwa kusudi. Huyu tulikutana chuo kikuu Na amekua ndugu yangu kabisa. Ukiacha wazazi Na ndugu zangu Wa damu ndo mtu anayenielewa Na harakati zangu.
 
Mmmhh we jamaa muongo. Wewe siulipewa kazi na Kinana wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…