2014 alinicheat mrembo nilompnda sana.
kimbembe kilianza after kuishi mbali(yeye yupo chuo mi job), usiku1 nilipiga simu hapokei nilihisi kuchanganyikiwa then nikapga kwa room mate wake akanambia katoka, nikampeleleza akanambia yupo kwa mtu wake, dah! moyo uliripuka nikamwambia asimwambia ka nimemtafta.
asubuh akanitxt "sorry dear nilipitiwa usingizi" nikamwambia taarifa zako ninazo umenicheat, akakataa kataa then akaniomba samahan eti alizidiwa genye, nikakubali kuwa mjinga ili nije mkomesha.
ile siku nzima sikupokea sim yake then nikaweka magic voice, jion akapga nikamwambia mwenye sim kalazwa alipata mshtuko wa moyo, akiwa sawa utazungumza nae.
asubuhi akapga nikaitoa magic voic nikaongea nae akaniomba samahani huku akijuta sana, then akanambia atagharamia matibabu na huduma zote mpaka nipone..
alitumia zaidi ya laki sita kunihudumia after hapo nikamwambia tuachane coz ulitaka niua, alilia sana bt ndo hvo tena nikamwacha kibish japo sikumwambie nilichomfanyia
je wewe ulimkomeshaje alipocheat?
kimbembe kilianza after kuishi mbali(yeye yupo chuo mi job), usiku1 nilipiga simu hapokei nilihisi kuchanganyikiwa then nikapga kwa room mate wake akanambia katoka, nikampeleleza akanambia yupo kwa mtu wake, dah! moyo uliripuka nikamwambia asimwambia ka nimemtafta.
asubuh akanitxt "sorry dear nilipitiwa usingizi" nikamwambia taarifa zako ninazo umenicheat, akakataa kataa then akaniomba samahan eti alizidiwa genye, nikakubali kuwa mjinga ili nije mkomesha.
ile siku nzima sikupokea sim yake then nikaweka magic voice, jion akapga nikamwambia mwenye sim kalazwa alipata mshtuko wa moyo, akiwa sawa utazungumza nae.
asubuhi akapga nikaitoa magic voic nikaongea nae akaniomba samahani huku akijuta sana, then akanambia atagharamia matibabu na huduma zote mpaka nipone..
alitumia zaidi ya laki sita kunihudumia after hapo nikamwambia tuachane coz ulitaka niua, alilia sana bt ndo hvo tena nikamwacha kibish japo sikumwambie nilichomfanyia
je wewe ulimkomeshaje alipocheat?
kwani ww ni jinsia gani?! Hasara roho pesa zinatafutwa
