Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,204
- 1,462
m nafikiri n PROBLEM YA WATZ WOOOOOTE
Sio kweli mzee mimi niko nje ya tz miaka kibao sana lakini kiswahili nakiongea kama kawaida sijasahau hata neno 1'tena nakitukuza sana hata huku jamaa kibao nimeshawafundisha kiswahili wanajua maneno kibao tu'sema ulimbukeni tu kupenda vya wenzetu na kuchukia vyetu ndio tabu hyo'