Ulimbukeni ni janga la taifa

Gilbert A Massawe

JF-Expert Member
May 14, 2015
5,007
4,080
Nianze kwa kutoa salam wana jf

Nianze kumshukuru mwenyezi mungu kwa kila jambo,pia nitoe shukrani kwa wazalendo wa nchi ambao wapo kwa maslahi ya taifa na sio vingine.

Awali ya yote naomba niwajuzeni namna ulimbukeni unavyotafuna vijana hususani wanaojiita wanamabadiliko na wafia nchi.

Jiulize yafwatayo mjue mnakwenda wapi na mpo wapi:
-Nani ni msafi ndani ya chadema?
Ni mbowe? Hapana... ni lowasa ? Hapana.

Nikianza na edward lowassa akuna asiejua namna alivyotumia madaraka yake kujipatia mali nyingi ambazo amejilimbikizia na marafiki zake, nani asiyejua mikataba kuntu ya city water,nani asiejua mashamba aliyopora mikononi mwa masikini, nani asiejua mikataba feki ya richmon? Je ujui ranchi za taifa nani kajimilikisha?

Nawashangaa sana vijana kama akina bensane,na wenzake ambao nawaita limbukeni ,walivyobadilishwa na vijisenti vya huyu mzee na kujitokeza mbele ya umma kumtetetea ,eti mwenye ushaidi ampeleke mahakamani je nani fisadi nchi hii na nyie wapelekeni mahakamani
Ni aibu sana vijana ambao ni nguvu kazi kukaa na kumtetea mtu ambae akuna asiejua ni fisadi

- Nirudi kwa mh mbowe,nani asiejua mbowe ni mlafi wa madaraka yupo wapi zitto kabwe?yupo wapi kitila mkumbo? Jiulizeni sana vijana wenzangu niwapeni angalizo yaliomtokea zitto muda si mrefu yatamkuta lissu,mnyika na salim mwalimu jiulizeni kwa kutumia bongo zenu mtapata majibu,je kwanini awe dr mashiji? Ni aina ya gia iliobadilishiwa hewani.

Je, mnamaana gani kudai demokrasia nchii hiii chama kinaongozwa na mtu mmoja tu ukipingana nae ndio basi umekwisha, jiulize dr slaa yupo wapi nini kilimpata?

Naamini ukijiuliza yote haya utakua umetambua nini nimekilenga .......
Nawasilisha kwenu wanajukwaa

Cc bensanane wenzake
By g massawe
 
Hahaaa
Mkuu ,pete ya TB Joshua iliwanasa wengi wakapigwa usingizi wa upopoma. Tuendelee kuwaombea waamke kabla Tingatinga halijaja kukapasua vipande kale ka geto ka Ufipa
 
Nianze kwa kutoa salam wana jf
Nianze kumshukuru mwenyezi mungu kwa kila jambo,pia nitoe shukrani kwa wazalendo wa nchi ambao wapo kwa maslahi ya taifa na sio vingine.
Awali ya yote naomba niwajuzeni namna ulimbukeni unavyotafuna vijana hususani wanaojiita wanamabadiliko na wafia nchi.
Jiulize yafwatayo mjue mnakwenda wapi na mpo wapi:
1 Nani ni msafi ndani ya chadema?
Ni mbowe? Hapana... ni lowasa ? Hapana.
Nikianza na edward lowassa akuna asiejua namna alivyotumia madaraka yake kujipatia mali nyingi ambazo amejilimbikizia na marafiki zake, nani asiyejua mikataba kuntu ya city water,nani asiejua mashamba aliyopora mikononi mwa masikini, nani asiejua mikataba feki ya richmon? Je ujui ranchi za taifa nani kajimilikisha?
Nawashangaa sana vijana kama akina bensane,na wenzake ambao nawaita limbukeni ,walivyobadilishwa na vijisenti vya huyu mzee na kujitokeza mbele ya umma kumtetetea ,eti mwenye ushaidi ampeleke mahakamani je nani fisadi nchi hii na nyie wapelekeni mahakamani
Ni aibu sana vijana ambao ni nguvu kazi kukaa na kumtetea mtu ambae akuna asiejua ni fisadi
2 Nirudi kwa mh mbowe,nani asiejua mbowe ni mlafi wa madaraka yupo wapi zitto kabwe?yupo wapi kitila mkumbo? Jiulizeni sana vijana wenzangu niwapeni angalizo yaliomtokea zitto muda si mrefu yatamkuta lissu,mnyika na salim mwalimu jiulizeni kwa kutumia bongo zenu mtapata majibu,je kwanini awe dr mashiji? Ni aina ya gia iliobadilishiwa hewani.
Je mnamaana gani kudai demokrasia nchii hiii chama kinaongozwa na mtu mmoja tu ukipingana nae ndio basi umekwisha, jiulize dr slaa yupo wapi nini kilimpata?
Naamini ukijiuliza yote haya utakua umetambua nini nimekilenga .......
Nawasilisha kwenu wanajukwaa

Cc bensanane wenzake
By g massawe

Umeongea Ukweli mtupu. Japokuwa ukweli unauma.
Tatizo la siasa ya Vijana wa kitanzania ni za kufuata mkumbo. Ni wachache sana ambao wanafikiri mbele na nyuma. Ila wengi wetu tumekuwa tukifuata Mkumbo na ushabiki bila kutafakari. Ninaposema vijana wakitanzania si maanishi wafuasi wa chadema pekee yao, siasa za mkumbo ni kwa vijana wote wa CCM na Chadema pia. Kitu kinachonishangaza ni kuona vijana wakiwatetea viongozi wasio waadilifu, kuona vijana wanatokwa povu pindi kiongozi wanayempenda akikosolewa. Hii tabia kwangu niaona kama ni kutokomaa kisiasa au kufuata mkumbo na ushabiki au wengi wa vijana wana matatizo ya kufikiri na kuchambua mambo.
Nije kwenye point yako. Wengi wa vijana wa Chadema wamekosa uwezo wa kuchambua mambo yanayotokea katika nchi yetu (Mambo ya kisiasa), badala yake wamekuwa washabiki tu hata kwa mambo yasiyo na tija kwa taifa. Kitendo cha kumsafisha Lowasa kilinisikitisha sana. Pili tabia ya Kuona kuwa Chadema bila Mbowe haiwezi kuwepo, ni dhahili kabisa kuwa kuna walakini katika ukomavu wa kisiasa wa hawa vijana. Mbowe ni mtoto wa mjini, anajua kuchanga karata zake vizuri mno, ndo maana kila anayekuwa against naye lazima azibitiwe ipasavyo. Mbowe mwenyewe ni fisadi tu. huo ndo ukweli. Usitegemee kiongozi akae muda mrefu kiasi hicho aje na ubunifu. Ndivyo historia ilivyo, (ni sheria ya historia) mtu akikaa kwenye nafasi muda mrefu lazima itafika wakati atafanyakazi kwa mazoea tu na ufanisi utapungua. Vijana wenzangu wakae watafakali upya. Wajiulize kwanini kila anayepishana kauli na Mbowe au anayeonyesha dalili za kuutaka uenyekiti wa Chadema lazima angóke??
 
Msomi ategemei teuzi mkuu chami sio mgagaa njaa kama wewe

Unaweza ukawa msomi(elimu)ukakosa akili(utashi mkubwa na maarifa)we na huyo MKIBOSHO mwenzako mmekosa hii kitu
 
toka wenzako wapate ukuu wa wilaya basi vijana wa ccm mmekuwa kama mmechanganyikiwa kila mmoja ni kutukana tu upinzani ili nawe ufikiriwe! ndo maana group kubwa la vijana kuwa mashoga linaongezeka! fanyeni kazi acheni kuendekeza njaa mtaingiziwa mitaribo huko nyuma.
Viroba na zinaa acha utaolewa ....
 
Hakuna kitu mnachokosea ccm kama kukaa ka kutumia muda mwingi kumzungumzia mbowe na lowassa hii inamaana moja kubwa kuwa hawa watu ni hatari kwa ustawi wa chama chenu, ndiyo maana mnashinda kwenye mitandao kuwachafua mbona lowassa haangaiki na nyinyi, muda huu ni mzuri kwa vijana wa ccm kusifia mazuri ya ccm kuliko kumzungumzia lowassa
 
Hakuna kitu mnachokosea ccm kama kukaa ka kutumia muda mwingi kumzungumzia mbowe na lowassa hii inamaana moja kubwa kuwa hawa watu ni hatari kwa ustawi wa chama chenu, ndiyo maana mnashinda kwenye mitandao kuwachafua mbona lowassa haangaiki na nyinyi, muda huu ni mzuri kwa vijana wa ccm kusifia mazuri ya ccm kuliko kumzungumzia lowassa
Hoja umezielewa au unakaa kishabiki chadema imeoza bavicha taabani.... poleni hongera mh lowasa...
 
Ninukuu 'ni muda wa kusafisha chama kwa kuwafukuza mafisadi ndani ya chama''


Na wewe kwa akili yako timamu ukaamini na kuja kuuliza chadema?, labda nikukumbushe mwakyembe, muhongo, chenge, tibaijuka karamagi na wengine ni nani ndani ya ccm anaweza kuwafukuza?
 
Back
Top Bottom