Ulimboka kumfungulia mashtaka Ighondu?

Ulimboka kumfungulia mashtaka Ighondu?

Status
Not open for further replies.

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,828
Wataalamu wa maswala ya sheria mnaweza kutoa clarifications.
Je ..baada ya kesi ya mshukiwa wa utejaji na utesaji wa Dr Ulimboka kwisha,kuna uwezekano Dr Ulimboka akafungua mashtaka dhidi yac Ighondu?
 
Chezeiya wang'oa kucha weiwe hataanzia wapi kufungua hyo case?
 


You Only Live Twice

hivi unatumia bundle ya namna gani mpaka mnaupload/download hizi You tubes?
Back to topic...Dr Ulimboka alishaonja mauti, sidhani kama kuna jambo laweza kumtisha tena maishani.anaweza kula hela na kuukazia msimamo ule ule.Nadhani muda wa kulipa maovu ya Ighondu et al unakaribia.
 
Last edited by a moderator:
Si Ulimboka wala Kibanda ambaye anaubavu wa kuwapeleka watesaji wao mahakamani! Wote walishakalili Kile kifungu samehe 7 Mara 70
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom