Ulimboka asalitiwa

Kuna msemo wa Kiswahili unaenda hivi - Chako (ndio) chako, chako na wenzio litakalokupata lako peke yako.

Haya ndio yanayowakuta madaktari vijana wetu masikini ambao kwa kukosa uzoefu wa Kitanzania-tanzania wameingia mtegoni. Mfano mdogo tu ni hapa hapa JF; wengi tulishabikia mgomo na kuahidi kufa nao liwalo na liwe. Ningependa kuona kama bado tuna moyo huo huo baada ya interns kusimamishwa na kufutiwa leseni.

Kubwa ninalosema tu kwa sasa ni kuwa Mungu Awasaidie!
 



Fallacy, although you have tried very hard to hide, but your feelings of bitter jealous are shouting so loudly throughout you prejudicious words, pole you are just like me you'll never be a doctor. But at least I've the guts to reasonable and unbiased.
 
Sitaki kuamini kama kuna watu eti mpaka hapa tulipofikia hawajui maudhui ya mgomo wa madaktari,eti vifaa chakavu na mazingira mabovu ya kazi...My d.ck!
 
Ni kawaida sana kwa bongo, unafiki sana.
Hatujiamini...........
Ni waoga.........
Ni wazandiki.....
Tutabakia unalialia kilasiku.
 
Katika madai yao yote, moja tu ndio lilikuwa kwa ajili ya Watanzania nalo kwa awamu ya Kikwete halina ubishi takwimu zinaonesha uhai wa Mtanzania umepanda kutoka miaka chini ya 50 alipochukuwa madaraka Kikwete mpaka kufikia 58 mwaka 2011 na inaendelea kupanda. Ni rikodi ya Afrika kama si dunia.

Kikwete yuko juu katika kila nyanja, hao madaktari wana agenda ya siri ambao hawataki kuiweka wazi.

"tutaifikia Nchi ya Ahadi!" - Halima Mdee Bungeni 11-07-2012
 
Dr. Mg'ong'o hana dispensary yake binafsi kweli!
 
CHADEMA are the real LOSERS in this saga!

Kwa uhusiano upi? Wewe ndiye loser namba 1 kwani hata mchango wako ni wa loser in this saga. Chadema waligoma wapi au ndiyo kuropoka kwa viungo vingine?
 

Kachukue posho kwa aliyekutuma; mpe salamu kuwa ni dhaifu kama wewe
 


acha kupotosha umma wewe...walioacha kazi ni zaidi ya huyo uliyemtaja akiwemo na mdogo wangu ambaye mda mfupi ujao atafika Rwanda....aliokuwa nao wenzake 5 jana wamefika botswana wengine wengi watafutata ....na kwa taarifa zako ulmboka hajasalitiwa maana zaidi ya dola 85,000 zimeshatumwa SA. bado kama dola 12,000 hivi..na mgonjwa kwa sasa anatembea na anakula peke yake.
 
Ulimboka alitumika kama chambo,waajiriwa wapo nyuma yeye katangulizwa madhara yake ndio hayo
 
Ukijamba ndani ya gari fungua kioo hewa chafu itoke, ma dr. Mlichafua hali ya hewa mkatutesa sana wenye wagonjwa muhimbili. Sasa serikali imefungua vioo ili wachafuzi wa hali ya hewa watoke. Kweli tokeni mmetufilisi na kutuachia madeni. Ningekuwa na uwezo ningewatemea mate usoni waliojamba jamvini.
 
Stor ya kizush hii, jamaa (Dr's) wanakutana kesho ukumbi flan, inaonekana gomo litaanza upya hili, ha2ombei iwe hvyo ila 2jipange 2 mana inavyoonekana JK alimwaga ugal nao jamaa wanataka kumimina mboga ili mahakama ichague cha kufanya tu.! Liwalo na liwe.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…