Ulikuwa unalijua hili?

LUBEDE

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
4,322
Reaction score
6,700
Unajua kuwa neno UVIVU ndio neno pekee la kiswahili ambalo hata ulisome kinyume linabakia kuwa na maana ile ile?
Tufanyeni kazi tuache uvivu wadau!
 
Hahahahaaaa nouma sana... Nmekusoma mkuu
 
Loh!!!ningejua nisingejaribu na hii nimefanya baada ya tafakur ndogo,jina langu la mwamzo ni Arif!!!!wadau msijaribu kuligeuza msijesema nimewatukana nikapigwa BAN bure!
 
Loh!!!ningejua nisingejaribu na hii nimefanya baada ya tafakur ndogo,jina langu la mwamzo ni Arif!!!!wadau msijaribu kuligeuza msijesema nimewatukana nikapigwa BAN bure!
Hahaha hahaha hehehe pole
 
Loh!!!ningejua nisingejaribu na hii nimefanya baada ya tafakur ndogo,jina langu la mwamzo ni Arif!!!!wadau msijaribu kuligeuza msijesema nimewatukana nikapigwa BAN bure!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Unajua kuwa neno UVIVU ndio neno pekee la kiswahili ambalo hata ulisome kinyume linabakia kuwa na maana ile ile?
Tufanyeni kazi tuache uvivu wadau!
haina faida yoyote kujua hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…