bakundande jr
JF-Expert Member
- Oct 22, 2021
- 507
- 670
Ikiwa zimepita siku chache baada ya kutamatika kwa ligi kuu soko nchini England maarufu kama Epl. Leo chama cha soka nchini humo kimetoa tayari kimetoa ratiba ya msimu ujao 2023/24.
Kwa mujibu wa ratiba hiyo msimu utaanza rasmi tarehe 6/8/2023 kwa mechi ya ngao ya jamii baina ya mabingwa wa ligi Manchester City na makamu bingwa ambae ni arsenal. Na rasmi msimu utaanza tarehe 11/82023 qmbapo Manchester City watafungua dimba wakiwa ugenini kuwavaa mabingwa aa championship Burnley wakiongoza na kocha kijana Vincent kompany.
Na rasmi msimu huo utafikia tamati tarehe 19/5/2024.
N.b tunamengi ya kujifunza katika hili
Ni yapi maoni yako kuhusu msimu ujao
Kwa mujibu wa ratiba hiyo msimu utaanza rasmi tarehe 6/8/2023 kwa mechi ya ngao ya jamii baina ya mabingwa wa ligi Manchester City na makamu bingwa ambae ni arsenal. Na rasmi msimu utaanza tarehe 11/82023 qmbapo Manchester City watafungua dimba wakiwa ugenini kuwavaa mabingwa aa championship Burnley wakiongoza na kocha kijana Vincent kompany.
Na rasmi msimu huo utafikia tamati tarehe 19/5/2024.
N.b tunamengi ya kujifunza katika hili
Ni yapi maoni yako kuhusu msimu ujao