Duka la Jeshi Lugalo umezuka mitindo ambao unafanywa na (vishoka) wakishirikiana na wahusika ndani ya duka hilo. Ukienda pale kwa ajili ya kununua mabati unaambiwa yamakwisha, ukitoka nje ya duka unakutana na watu kibao wanao kutangazia kuwa wao wana mabati wanauza kwa bei ya juu tofauti na ile ya ndani ya duka ambapo bati moja ni Tsh 23,000/ tu, wao wanauza kuanzia elfu 24,000/ na kuendelea juu kwa bati moja.
Mabati hayo ya ulanguzi endapo utakubali kuuziwa yanatolewa hapohapo kwenye stoo ya duka, sasa hapo huoni kuwa wahusika ndani ya duka wanaushiriki katika biashara hii haramu?
Tunasikitika sana kwa vitendo hivi ambavyo vinafanywa na baadhi ya wanajeshi mahali hapo. Wamegeuka madalali wa mabati hayo.
Mabati hayo ya ulanguzi endapo utakubali kuuziwa yanatolewa hapohapo kwenye stoo ya duka, sasa hapo huoni kuwa wahusika ndani ya duka wanaushiriki katika biashara hii haramu?
Tunasikitika sana kwa vitendo hivi ambavyo vinafanywa na baadhi ya wanajeshi mahali hapo. Wamegeuka madalali wa mabati hayo.