Kwa mtazamo wangu factor nyingi zinaweza fanya Gari ile Mafuta sana - uendeshaji wako wa kukimbiza sana Gari na kufunga sana breki, foleni, mizigo, kuwekewa Mafuta kidogo kwa kujaza Mafuta mchana na jua kali, friction, Milima nkHabari zenu waungwana, naomben msaada wa kutatua changamoto katika gari, Nina Toyota ractis cc 1490 engine 1nz-FE, ina week tangu niitoe showroom, tatizo nililobaini NI kwamba inakula wese ambavyo sio kiwango chake kinachofahamika. Litre moja inatembea km 11. Je huu ulaji WA mafuta upo Sawa. Maana nlifanya service ya kubadili oil na oil filter tu. Naombeni mnisaidie Kwa mwenye uelewa na hili.
Je nkishafisha engine Kwa kutumia motor flash, nkaeka engine ya Castrol ama total na nkabadil pug inawez kusaidia?Kwa mtazamo wangu factor nyingi zinaweza fanya Gari ile Mafuta sana - uendeshaji wako wa kukimbiza sana Gari na kufunga sana breki, foleni, mizigo, kuwekewa Mafuta kidogo kwa kujaza Mafuta mchana na jua kali, friction, Milima nk
Ingawa 11km/L kwa Gari ya CC 1500 sio mbaya sana. Wenzako CC 2000 ni 7km/L
Alternatively unaweza kudowngrade to IST CC 1300 au Vitz CC 990.
Sasa Bwana Lameck ulitaka Ractis yako inywe supu badala ya wese??kwa foleni za Dar Lita Moja kwa KM 11 ni sawa kabisa acha kulialiaHabari zenu waungwana, naomben msaada wa kutatua changamoto katika gari, Nina Toyota ractis cc 1490 engine 1nz-FE, ina week tangu niitoe showroom, tatizo nililobaini NI kwamba inakula wese ambavyo sio kiwango chake kinachofahamika. Litre moja inatembea km 11. Je huu ulaji WA mafuta upo Sawa. Maana nlifanya service ya kubadili oil na oil filter tu. Naombeni mnisaidie Kwa mwenye uelewa na hili.
Unajua lkn hio hio IST uliyoitaja inatumia engine iliyoko kwny hio hio ractis(1NZ-FE)?Kwa mtazamo wangu factor nyingi zinaweza fanya Gari ile Mafuta sana - uendeshaji wako wa kukimbiza sana Gari na kufunga sana breki, foleni, mizigo, kuwekewa Mafuta kidogo kwa kujaza Mafuta mchana na jua kali, friction, Milima nk
Ingawa 11km/L kwa Gari ya CC 1500 sio mbaya sana. Wenzako CC 2000 ni 7km/L
Alternatively unaweza kudowngrade to IST CC 1300 au Vitz CC 990.
Kwani huko mikoani mna magari ya kutembelea pia?Naona watoa ushauri wote mnashauri kiDaslam tu.
Anyway.....
Ebu ngoja minikae hapa pembeni niwe mpenzi msomaji tu..View attachment 2241427
Hapana bwana mkubwa, huku tuna magari ya kukalia...🤨Kwani huko mikoani mna magari ya kutembelea pia?
Sisi tunaopiga 4.5 Km/ litre tusemeje 😂Habari zenu waungwana, naomben msaada wa kutatua changamoto katika gari, Nina Toyota ractis cc 1490 engine 1nz-FE, ina week tangu niitoe showroom, tatizo nililobaini NI kwamba inakula wese ambavyo sio kiwango chake kinachofahamika. Litre moja inatembea km 11. Je huu ulaji WA mafuta upo Sawa. Maana nlifanya service ya kubadili oil na oil filter tu. Naombeni mnisaidie Kwa mwenye uelewa na hili.
Sababu za kula mafuta,anglia vitu vifuatavyo kama vipo sawa - air cleaner,spark plug,air flow sensor hii usibadili huwa inakuwa imejaa vumbi safisha. Oxygen sensor hii ni sensor ipo kwenye exhaust kazi yake ni kusensi air and fuel ratio kama ina shida gari itakula mafuta, la mwisho na kubwa zaidi kwenye exhaust kuna masega kama wametoa itakula mafuta.Habari zenu waungwana, naomben msaada wa kutatua changamoto katika gari, Nina Toyota ractis cc 1490 engine 1nz-FE, ina week tangu niitoe showroom, tatizo nililobaini NI kwamba inakula wese ambavyo sio kiwango chake kinachofahamika. Litre moja inatembea km 11. Je huu ulaji WA mafuta upo Sawa. Maana nlifanya service ya kubadili oil na oil filter tu. Naombeni mnisaidie Kwa mwenye uelewa na hili.
Hebu subiri kwanza, wewe Ulitaka upate km/L ngapi? Je, umewahi kumiliki gari kabla?Je nkishafisha engine Kwa kutumia motor flash, nkaeka engine ya Castrol ama total na nkabadil pug inawez kusaidia?
Hapo umedanganya...hiyo inakula 5km/l hadi 6km/l kwa tripu za ndani11Km/Lt kwa foleni za Dar ni kiwango kizuri sana cha matumizi ya mafuta. Hilo ukienda nalo safari ndefu litaenda mpaka 13/14km per Litre ambayo kwa uzoefu wangu ni very economical..
Binafsi niko na mnyama long trip akinihurumia na nikijihurumia ndiyo anakula 10-11km/lt. Ila safari za ndani ya Dsm anakula 8km/lt mpaka 7km/lt..