FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,792
- 46,909
Ni miaka takriban 10 sasa serikali imekua katika mchakato wa kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki yenye athari kubwa katika mazingira na uchafuzi wa mazingira kwa ujumla, imefika mahala jiji lote la Dar linafanana kama dampo la takataka.
Ila kwa sasa kuna uwezekano mkubwa mchakato huo ukawa unaelekea kukamilika, hii ni nafasi na fursa kwa vijana wasio na ajira kuanza kutengeneza vikundi vya usukaji vikapu na uundaji wa mifuko ya karatasi na khaki, pia ubunifu wa aina zingine za vifungashio na vibebeo utahitajika. Kila la kheri.
===============================
Update: 09/04/2019
Mifuko ya plastiki imepigwa marufuku!
www.jamiiforums.com
============================
Ila kwa sasa kuna uwezekano mkubwa mchakato huo ukawa unaelekea kukamilika, hii ni nafasi na fursa kwa vijana wasio na ajira kuanza kutengeneza vikundi vya usukaji vikapu na uundaji wa mifuko ya karatasi na khaki, pia ubunifu wa aina zingine za vifungashio na vibebeo utahitajika. Kila la kheri.
===============================
Update: 09/04/2019
Mifuko ya plastiki imepigwa marufuku!
Hatimaye Waziri Mkuu Majaliwa, apiga marufuku mifuko ya Plastiki
Video ina maelezo kamili toka kwa Waziri mkuu mwenyewe, waziri mkuu, sio waziri kivuli marope. Hahahah WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuanzia Juni mosi mwaka huu, itakuwa ni marufuku kutengeneza, kuingiza, kuuza na kutumia mifuko ya plastiki kwa ajili ya kubebea bidhaa za aina yoyote na...
============================