Ukweli Wanaume aina hii wanaboa sana

sayoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
5,281
Reaction score
7,953
Sasa janaume zima linasuguliwa miguu na mwanaume mwenzie ndo nn Sasa, hili jamaa boya sana
 
Fuata mambo yako lasivyo utajikuta unafia usingizini kisa mtu mwingine.
Hata hivyo he's very brave. Kufanyiwa hivyo public na watu wakakuona wakakujudge siyo jambo jepesi.
 
Hapo umeshahusianisha na ushoga!

Kuna kipindi yule jamaa anajiita Barbarosa alileta uzi mmoja sensitive sana wa kuhusu tabia ya watanganyika kuoanisha kila jambo na ushoga!

Japo kweli mwanaume kusuguliwa miguu haijakaa sawa sana, lakini ungefuata mambo yanayokuhusu badala ya kujipa kazi ya utarishi ya kuripoti kila unachokiona mtaani kwako!

Dalili za umama!
 
Bila Shaka na ww utakua na tabia hizi , acha mara moja ,mbioni kuja kupakuliwa
 
naona njemba mbili hizo pembeni zinamuangalia jamaa kwa jicho la kisodoma.
mwenyewe haoa habari na sijui castle light zake mbili..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…