babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,426
- 3,308
Ndugu wanajukwaa, kwanza pongezi juu yenu wote kwa kukaribia kuuaga mwaka 2014.
Ndugu zangu nchi hii toka miaka ya 2000+ imepita katika kizazi cha Ulafi kisicho na huruma hata kidogo.
Tumeshuhudia Ufisadi wa kutisha usio na mfano wala kipimo kwa wale tuliowaamini na kuwapenda.
KWA NINI ESCROW?
Tumeaminishwa kuwa ni account iliyofunguliwa baada ya Mgogoro wa IPTL na Tanesco
Ili malipo yafanyikie hapo wakati mgogoro ukipatiwa uvumbuzi.
UKWELI WA TEGETA ESCROW
Hii account ilifunguliwa kwa kuwa IPTL si ya mtu mmoja ni kampuni yenye Wanahisa wengi ambao wengi ni VIONGOZI WAANDAMIZI SERIKALINI NA WENGINE NI VIONGOZI WALIOSTAAFU.
Kuna ambao HISA Zao walipitishia kwa Rugemarila akiwa kama Ngao yao na Wengine hasa Wale wenye HISA nyingi wakimtumia Seth kama Ngao yao pia.
Ndugu zangu Mafisadi hawa baada ya kuona kuwa Kugawana Faida za hisa zao italeta Mashaka ya kuwa kwa nini kila Vipindi fulani watu hao hupata fungu kutoka IPTL basi wakapendekeza ianzishwe Escrow ambayo kwayo Hakuna mtu yoyote angeweza kutoa fedha humo.
Kwa kuzingatia kuwa Wasingeweza kumwamini Singasinga na Rugemarila basi suluhisho ni kuzikusanya mahali ambapo ni salama.
Kumbukeni Muda wote huo wa miaka 7 kuzuia fedha za mwekezaji halali isingewezekana kabisa kwani ana mambo mengi ya uendesha yanayohitaji fedha.
Muda ulipowadia wa kugawana ndipo kila MWANAHISA ALIPOLIPWA SAWA NA HISA ALIZOPANDA NA IKUMBUKWE MWAKA 2015 NI WA UTAWALA MWINGINE NA HEKAHEKA NI NYINGI HIVYO KIBUBU KIKABIDI KIPASULIWE KILA MTU AJILIE VYAKE.
Hakuna cha Nani Wala nani IPTL ni ya Watz Kwa % 96.
Rais Mkapa Alisema--
Mtanikumbuka sana.
Na si kila king'aacho ni Dhahabu.
Jamani Akili Kumkichwa.
Waenagawana Share Walalahoi Wanajua ni Hongo ama Rushwa.
Ni maono tu.
Ndugu zangu nchi hii toka miaka ya 2000+ imepita katika kizazi cha Ulafi kisicho na huruma hata kidogo.
Tumeshuhudia Ufisadi wa kutisha usio na mfano wala kipimo kwa wale tuliowaamini na kuwapenda.
KWA NINI ESCROW?
Tumeaminishwa kuwa ni account iliyofunguliwa baada ya Mgogoro wa IPTL na Tanesco
Ili malipo yafanyikie hapo wakati mgogoro ukipatiwa uvumbuzi.
UKWELI WA TEGETA ESCROW
Hii account ilifunguliwa kwa kuwa IPTL si ya mtu mmoja ni kampuni yenye Wanahisa wengi ambao wengi ni VIONGOZI WAANDAMIZI SERIKALINI NA WENGINE NI VIONGOZI WALIOSTAAFU.
Kuna ambao HISA Zao walipitishia kwa Rugemarila akiwa kama Ngao yao na Wengine hasa Wale wenye HISA nyingi wakimtumia Seth kama Ngao yao pia.
Ndugu zangu Mafisadi hawa baada ya kuona kuwa Kugawana Faida za hisa zao italeta Mashaka ya kuwa kwa nini kila Vipindi fulani watu hao hupata fungu kutoka IPTL basi wakapendekeza ianzishwe Escrow ambayo kwayo Hakuna mtu yoyote angeweza kutoa fedha humo.
Kwa kuzingatia kuwa Wasingeweza kumwamini Singasinga na Rugemarila basi suluhisho ni kuzikusanya mahali ambapo ni salama.
Kumbukeni Muda wote huo wa miaka 7 kuzuia fedha za mwekezaji halali isingewezekana kabisa kwani ana mambo mengi ya uendesha yanayohitaji fedha.
Muda ulipowadia wa kugawana ndipo kila MWANAHISA ALIPOLIPWA SAWA NA HISA ALIZOPANDA NA IKUMBUKWE MWAKA 2015 NI WA UTAWALA MWINGINE NA HEKAHEKA NI NYINGI HIVYO KIBUBU KIKABIDI KIPASULIWE KILA MTU AJILIE VYAKE.
Hakuna cha Nani Wala nani IPTL ni ya Watz Kwa % 96.
Rais Mkapa Alisema--
Mtanikumbuka sana.
Na si kila king'aacho ni Dhahabu.
Jamani Akili Kumkichwa.
Waenagawana Share Walalahoi Wanajua ni Hongo ama Rushwa.
Ni maono tu.