albizizy olden
Member
- Jun 28, 2015
- 28
- 1
Unajua katika ulimwengu wa digital na mitandao ya kijamii kumekua na mambo mengi sana yana fanyika lakini moja wapo ni ili la kupost picha za utupu na watu kuziangalia.
Lakini katika pitapita zangu nimepita mahali nikakuta wanaongelea ili swala la kuangalia picha hizi eti zina komaa sura, ila sina uhakika na jambo ili kama nikweli kua picha hizi hua ukiangalia sana zina fanya sura ya mtu kukomaa.
Wadau nisaidieni juu ya dai hili
Lakini katika pitapita zangu nimepita mahali nikakuta wanaongelea ili swala la kuangalia picha hizi eti zina komaa sura, ila sina uhakika na jambo ili kama nikweli kua picha hizi hua ukiangalia sana zina fanya sura ya mtu kukomaa.
Wadau nisaidieni juu ya dai hili