ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,084
- 84,978
Mambo yanazidi Kunoga huko Arusha ,baada ya kunywa mchuzi Sasa ni minyama kutoka Kwa Mbunge 😁😁
Ngoma hii Bado mbichi,haijaisha mpaka iishe Stay tuned ,save the date.
---
Mei 10, 2025 kuanzia saa nane Mchana kwenye Viwanja vya Kilombero Jijini Arusha, Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo atakuwa na Mkutano wa hadhara na wananchi wa Jimbo lake,kuwasilisha kwa uwazi na ukweli utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo kwenye Jimbo lake kwa mwaka 2020/25, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa utaratibu wake wa kila wakati kuzungumza na kuwapa mrejesho wananchi wa Jimbo lake.
Kulingana na ratiba, Kabla ya mkutano huo wa hadhara, Wananchi wa Arusha Mjini wataanza na Matembezi ya Amani kutoka CCM Wilaya kuanzia saa 5 kamili asubuhi ya Tarehe 10/05/2025.
Mhe. Gambo anakukaribisha sana ewe Mpenda maendeleo, kuja kujadiliana pamoja kuhusu maendeleo na ustawi wa Jimbo la Arusha Mjini.
Chanzo: Jambo TV
View: https://youtu.be/vg1Fix5fp24?feature=shared
Ngoma hii Bado mbichi,haijaisha mpaka iishe Stay tuned ,save the date.
---
Mei 10, 2025 kuanzia saa nane Mchana kwenye Viwanja vya Kilombero Jijini Arusha, Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo atakuwa na Mkutano wa hadhara na wananchi wa Jimbo lake,kuwasilisha kwa uwazi na ukweli utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo kwenye Jimbo lake kwa mwaka 2020/25, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa utaratibu wake wa kila wakati kuzungumza na kuwapa mrejesho wananchi wa Jimbo lake.
Kulingana na ratiba, Kabla ya mkutano huo wa hadhara, Wananchi wa Arusha Mjini wataanza na Matembezi ya Amani kutoka CCM Wilaya kuanzia saa 5 kamili asubuhi ya Tarehe 10/05/2025.
Mhe. Gambo anakukaribisha sana ewe Mpenda maendeleo, kuja kujadiliana pamoja kuhusu maendeleo na ustawi wa Jimbo la Arusha Mjini.
Chanzo: Jambo TV
View: https://youtu.be/vg1Fix5fp24?feature=shared