Ukweli unauma

Ukweli unauma

Hela?WTF!
Is it even something to brag about in public.
Hela zilikuwepo tangu kipindi cha Yesu, sema wewe ndiyo umezipata saa hizi.
Pole sana.

Ila ukweli utabaki kuwa pale pale,
Kizazi hiki kimeoza siyo vijana wa kiume wala wa kike.

Kwanza ninyi mnaojiiita mna hela,
Ndiyo wengi wenu mnaongoza kuwa wazazi wabovu.
That's a fact..Swallow it!!!

Unaonekana umepanic, huelewi.
Wanawake wa zamani hawakuwa na namna ya kujitegemea hivyo ilikuwa lazima wawe watii na wavumilivu kwa waume zao lakini sasa hivi ni tofauti kwa sababu wanatafuta hela wenyewe na wanaweza kujitegemea hivyo wakifanyiwa vitu vibaya wana amua kuondoka...
umechanganyikiwa kwa kweli, hufikirii hata sekunde unakurupuka kujibu. Hela za wakati wa kale zilikuwa za nani? Hata kurithi mwanamke alikatazwa.

Hata mjinga akikaa kimya huonekana ana busara: usikurupuke.
 
Unaonekana umepanic, huelewi.
Wanawake wa zamani hawakuwa na namna ya kujitegemea hivyo ilikuwa lazima wawe watii na wavumilivu kwa waume zao lakini sasa hivi ni tofauti kwa sababu wanatafuta hela wenyewe na wanaweza kujitegemea hivyo wakifanyiwa vitu vibaya wana amua kuondoka...
umechanganyikiwa kwa kweli, hufikirii hata sekunde unakurupuka kujibu. Hela za wakati wa kale zilikuwa za nani? Hata kurithi mwanamke alikatazwa.

Hata mjinga akikaa kimya huonekana ana busara: usikurupuke.

Hongera kwa kuna akili sana.
Haya naomba unijibu maswali yafuatayo.

Nini chanzo cha kuharibika kwa hao vijana?

Wameharibika tu hao wa kiume?
 
Imeku-uma eeh, ndo hivyo tena. Hatulingani na wa zamani maana wa zamani hawakuwa na hela zao.

Kwakweli zamani wanawake walikua na kazi ya kuangalia familia, ila siku hizi ukibaki na kazi ya kuangalia familia tu unaweza kula mchanga....
 
"For every effects there is a cause". Hoja zako nzuri lakini kwa kiasi kikubwa umeangalia pale tulipoangukia na si kujikwaa. Umegusa matokeo na si sababu.

Watu kucheka kamali si Tatizo kwani "mfa maji haishi kutapatapa". Kama ajira hakuna na hakuna namna ya kumsaidia mtu kusonga kwa nini asicheze.

Kutafuta majimama sio kosa maadamu mtu habaki. Maana maisha ya jamii kuanzia viongozi wa dini hadi wakubwa serikali yamekuwa ya kuvizia.

Kuishi kwa ujanja ujanja. Hili ni kosa la mfumo ambalo limeruhusu hali hii. Ndio maana si ajabu kukuta "mention town/ dalali" ana maisha mazuri kushinda mtumishi wa umma.

Watu wengi tunawahi kuzeeka sababu serikali Imeshindwa kutulinda. Nguzo muhimu ya afya bora ni mazoezi. Leo viwanja vya mazoea vimejengwa "flemu" na sehemu za wazi zimevamiwa. Bidhaa nyingi ni feki na hazikidhi ubora. Kwa maana hiyo lazima watu wazeeke mapema.
 
Hongera kwa kuna akili sana.
Haya naomba unijibu maswali yafuatayo.

Nini chanzo cha kuharibika kwa hao vijana?

Wameharibika tu hao wa kiume?

Toka awali mada ni juu ya wanaume wa sasa, wanawake hawajatajwa popote na mtoa mada bas tu nilikujibu mwanzoni kwa kuwa uliuliza swali la tofauti ya wanawake wa zamani na sasa.
wewe unataka kuwalaumu mama ako na baba!! Chanzo ni jamii imebadilika, utandawazi n.k. na watu hawataki kuwajibika wanataka vya kirahisi rahisi.
Lakini Ukishafika umri wa kujitambua hutakiwi kumlaumu mtu kwa tabia zako kama mtu mzima.
Asante, nashukuru kwa pongezi. 😊
 
"For every effects there is a cause". Hoja zako nzuri lakini kwa kiasi kikubwa umeangalia pale tulipoangukia na si kujikwaa. Umegusa matokeo na si sababu.

Watu kucheka kamali si Tatizo kwani "mfa maji haishi kutapatapa". Kama ajira hakuna na hakuna namna ya kumsaidia mtu kusonga kwa nini asicheze.

Kutafuta majimama sio kosa maadamu mtu habaki. Maana maisha ya jamii kuanzia viongozi wa dini hadi wakubwa serikali yamekuwa ya kuvizia.

Kuishi kwa ujanja ujanja. Hili ni kosa la mfumo ambalo limeruhusu hali hii. Ndio maana si ajabu kukuta "mention town/ dalali" ana maisha mazuri kushinda mtumishi wa umma.

Watu wengi tunawahi kuzeeka sababu serikali Imeshindwa kutulinda. Nguzo muhimu ya afya bora ni mazoezi. Leo viwanja vya mazoea vimejengwa "flemu" na sehemu za wazi zimevamiwa. Bidhaa nyingi ni feki na hazikidhi ubora. Kwa maana hiyo lazima watu wazeeke mapema.

Aisee mkuu that's exactly my point.
Plus complaining too much about the problem without bringing a solution is called whining.

Muungwana ni lazima kwanza angetuambia.
-Nini chanzo cha matatizo.
-Ni wapi familia zimekosea katika malezi ya vijana.
-Je, ni vijana wa kiume tu wameharibika?
-Hatua gani stahiki zichukuliwe ili kuwasaidia vijana.

Sasa somebody comes out of oblivion and starts to defend a thesis which actually is just a myriad of lackadaisical statements aimed at spewing Ujinga tu.
 
Aisee Mtoa mada umeongea mambo ya msingi sana tena sana...KUNA WANAUME WENGI WANA TABIA ZA KIKE,yaani unamkuta mwanaume anaandika na kubehave kis'''en*ge na kama mwanamke. Hapo umesahau na UMBEA NA KUSHADADIA MAMBO KIBOYA.
 
Namba nne kidogo nimeshindwa kukuelewa. Beting sio mbaya but kusihi kwa kutegemea betting kujikimu maisha ndo vibaya.

Kuna watu wanamiliki ofice za kubet,ni biashara kama nyengine.
 
Sometimes, some of us tend to bash what we can't have. If I can't score a good mama, I'll dirt all the mamas just to hide my short-comings. Same on the flip side. But as one Poet said Lord, please let 'em accept the things they can't change/
And pray that, all their pain be champagne/
 
Back
Top Bottom