Ukweli ulivyo

Amocnolo

Member
Joined
Oct 16, 2023
Posts
23
Reaction score
26
Epuka sana kulaumu watu wengine kwa matatizo unayopitia ukinona una tabia kama hiyo basi acha mala moja maana itakupelekea uone hakuna Mungu.

Na ukishaanza ivo basi dalili za kupotea kimaisha utaanza kuziona maana itafika wakati utakata tamaa na kuingia kwenye makundi au hata kwenye imani potofu.
 
Duh! Mshana Jr hebu njoo huku
Yuko sahihi sana. Kuna baadhi ya watu kushindwa kwao hudhani kunasababishwa na wengine! Hawa wenye hiyo mitazamo ya aina hii ni watu waliojawa na wivu roho mbaya na chuki za kila aina
Na badala wapambane kusimama na kutoka hapo walipo wao hupambana kuwaangusha wenye nafuu ama waliowazidi kwa chochote kile kasoro umaskini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama hauna matatizo Mungu yupo wap kwani?
 
Don't complain because if you complain that's means someone is responsible for your life
–jack ma–
 
We are not complaining,we are praying

Hakuna kitu malalamiko yatafanya…
Kwa upande wako unaweza kuona hivyo.
Ila kuna lile ambalo vijana wengi linawakuta.
Kulalamika ajira hakuna,ugumu wa maisha na mengineyo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…