Epuka sana kulaumu watu wengine kwa matatizo unayopitia ukinona una tabia kama hiyo basi acha mala moja maana itakupelekea uone hakuna Mungu.
Na ukishaanza ivo basi dalili za kupotea kimaisha utaanza kuziona maana itafika wakati utakata tamaa na kuingia kwenye makundi au hata kwenye imani potofu.