Habari za humu ndani wana jf,
Kuna ukweli wowote kuhusu kuubebesha gunzi la mhindi mmea mchanga wa mpapai Kuwa utazaa? Au ni imani tu za kishirikina.
Nawasilisha
Hapo ni jambo la kuupa mmea stress juu ya mazingira na hivyo kujiona unaelekea kupoteza maisha bila ya kuacha kizazi chake.. ikiwa hivyo unajibadili kuwa katika hali ya kike na kuanza kuanza kuzaa matunda yenye mbegu
Hapo ni jambo la kuupa mmea stress juu ya mazingira na hivyo kujiona unaelekea kupoteza maisha bila ya kuacha kizazi chake.. ikiwa hivyo unajibadili kuwa katika hali ya kike na kuanza kuanza kuzaa matunda yenye mbegu
Habari za humu ndani wana jf,
Kuna ukweli wowote kuhusu kuubebesha gunzi la mhindi mmea mchanga wa mpapai Kuwa utazaa? Au ni imani tu za kishirikina.
NawasilishaView attachment 1745899