Ukweli ni upi?

ashidodi

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
291
Reaction score
341
Habari za humu ndani wana jf,
Kuna ukweli wowote kuhusu kuubebesha gunzi la mhindi mmea mchanga wa mpapai Kuwa utazaa? Au ni imani tu za kishirikina.
Nawasilisha
 
Mkuu sijakuelela mimi shujaa wa zamani sana et
 
Hapo ni jambo la kuupa mmea stress juu ya mazingira na hivyo kujiona unaelekea kupoteza maisha bila ya kuacha kizazi chake.. ikiwa hivyo unajibadili kuwa katika hali ya kike na kuanza kuanza kuzaa matunda yenye mbegu
 
Hapo ni jambo la kuupa mmea stress juu ya mazingira na hivyo kujiona unaelekea kupoteza maisha bila ya kuacha kizazi chake.. ikiwa hivyo unajibadili kuwa katika hali ya kike na kuanza kuanza kuzaa matunda yenye mbegu
Kumbe na mimea ina stress mkuu, asante sana
 
Nami nasikia hivo, japo mechanism ya gunzi kuondoa utasa kwenye mpapai siijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…