Ukweli ni upi?

Hapo ni jambo la kuupa mmea stress juu ya mazingira na hivyo kujiona unaelekea kupoteza maisha bila ya kuacha kizazi chake.. ikiwa hivyo unajibadili kuwa katika hali ya kike na kuanza kuanza kuzaa matunda yenye mbegu
 
Hapo ni jambo la kuupa mmea stress juu ya mazingira na hivyo kujiona unaelekea kupoteza maisha bila ya kuacha kizazi chake.. ikiwa hivyo unajibadili kuwa katika hali ya kike na kuanza kuanza kuzaa matunda yenye mbegu
Kumbe na mimea ina stress mkuu, asante sana
 
Nami nasikia hivo, japo mechanism ya gunzi kuondoa utasa kwenye mpapai siijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…