GE2025 Ukweli ni kwamba Oktoba 29, 2025 Chawa Baba Levo anashinda Ubunge Kigoma Mjini

GE2025 Ukweli ni kwamba Oktoba 29, 2025 Chawa Baba Levo anashinda Ubunge Kigoma Mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Wakuu habari,

Nimegundua tu CCM wana akili sana na wanawaza kimkakati zaidi
Tunaweza kuona chawa hafai kuwa kiongozi, lakini wao wametumia ushawishi wa uchawa katika siasa na kuangalia wingi wa wafuasi, japo wajumbe huwa hawasomeki moja kwa moja.

Kwa hili nyomi naona kabisa Baba Levo anachukua kiti cha ubunge Kigoma Mjini, tusishangae sana ila tujiandae kufuatilia bunge la uchawa

Soma pia

 
Acha kuwaza kijinga... Kuwekwa kwa baba levo nikumpa nafasi mtu wao Zitto kushinda ubunge kirahisi ili akawe kwenye kiti maalum kupitisha ujinga na wizi wa mali za Taifa. Baba levo ni kama toi limewekwa hapo.
 
Acha kuwaza kijinga... Kuwekwa kwa baba levo nikumpa nafasi mtu wao Zitto kushinda ubunge kirahisi ili akawe kwenye kiti maalum kupitisha ujinga na wizi wa mali za Taifa. Baba levo ni kama toi limewekwa hapo.
zitto chali
Tume ya CCM itamtangaza mwanaCCM
Haiwezekani Zitto kutangazwa hata kama kashinda!
Asubiri kuteuliwa wale wabunge 10 wa mama
 
CCM wahuni wamempanga Zitto tutakupa jimbo, halafu ghafla wamemtegea bomu acheze nalo
 
Huyu anampiga chini zito kirahisi labda zito atangazwe kimkakati kama Esther bulaya
 
Watu mnaongea hamjafika ground. Baba Levo anampigia Chini Zitto bila hata Wizi wa Kura. Zitto kapoteza Nuru
 
Back
Top Bottom