Ukweli mchungu, Zari ndie kamuoa Diamond...

Mtu mwenye familia Yake Na civilized hawezi Kua Na mdomo mchafu kiasi hicho! Au malezi pia yanachangia sana kumshape Na kumfanya mtu awe Kama alivyo Ktk Jamii.


Jamii gani??

Maneno machafu unayajua??

Kama unayajua na wewe pia mchafu soma utengeneze maisha yako

Acha kusifia wenzako
 
Jamani hivi kumbe kaka ndio kaolewa badala ya dada? nimekuwa nikipita kwenye mitandao kufuwatilia ukweli nikagunduwa ukweli,
Facts hizi hapa

Ivan mume wa zari alichukua poa kwa zari kumfuwata diamodi na ktk maojiano na vyombo vya habari jamaa anaonyesha kumdharau kijan Diamond kwa kukurupukia mapenzi ya watu wakati hajuwi ukweli, mtonyaji anasema mshikaji anajuwa ndani nje za zari hivyo domo atashika pembe huku wenzake wakipata ziwa heheheheeheh....

Diamondi kwenda Uganda alichukuliwa na gari la kifahari la zari ambalo hata yeye hana, kwanza kabla yakufika Uganda alipigwa bit na mpenziwe Zari hakuna kuongea na vyombo vya habari kama unabisha tafuta kilp yeyote alio ongea dom na vyombo vya habari alipo enda Uganda, mtonyaji anasema wenye mke walipiga bit akizungumza tu wangemuaribu dom na huyo bi zari. heheheheheheheeheh jamani kaka akichukuliwa picha na paparazzi wa Uganda ananekana kazungukwa na baunsa ili asije ropoka.....

Ktk kile kinaonekana wenye mke kumchafuwa diamond alikutana na kashifa yakumdhulum mwanamziki Fulani dom alijikuta wakai mgum ktk kujitetea

jaman kweli Diamond akapimwe akili uwenda hata yule mtoto sio wake kama kweli waka pime DNA YA MTOTO NA BABA Tz pale ocean road ambapo ukweli utajulikana na sio SA kuficha ukweli........

Angalia picha zote za ivani akiwa na zari yan ivan anakula denda wazi wazi ila kaka hakuna picha anamuinamisha zari na kula denda kama mwenzake yani full kuolewa kakakakaakakkakakaakak.

Diamond hana pesa yakumpa zari yani uniamini mimi wala zari hana kitu anapoteza kuhusu Diamond na kiukweli diamond hana say kwa zari wala hana mamlaka za zari kama unabisha subiri uone ktk nyakati tofauti malezi ya zari kwa diamond yamemfanya diamond kuwa kama mnyonge pesa apate wapi kaka uyo zari waliokuwa wanampa kazi nakumuendesha ni akina Ivan jamaa ndio kiburi dume la ng'ombe hata sasa zari hutomsikia anamtukana au anamsema vibya njooo mh aseme vibaya kama kidume ajamuharibu, yani inatia huruma kwa kaka amepatikana,

Hatakiwi kumchosha dada akizidi kila mu chumba yake. heheheheheehehehehe natania ila kweli

mtonjaji hafungwi yote nimeandika yapo kwenye mtandao
Mda uliotumia kufikiria na kusndika hii mada umekuletea faida gani ,
 
Jamani hivi kumbe kaka ndio kaolewa badala ya dada? nimekuwa nikipita kwenye mitandao kufuwatilia ukweli nikagunduwa ukweli,
Facts hizi hapa

Ivan mume wa zari alichukua poa kwa zari kumfuwata diamodi na ktk maojiano na vyombo vya habari jamaa anaonyesha kumdharau kijan Diamond kwa kukurupukia mapenzi ya watu wakati hajuwi ukweli, mtonyaji anasema mshikaji anajuwa ndani nje za zari hivyo domo atashika pembe huku wenzake wakipata ziwa heheheheeheh....

Diamondi kwenda Uganda alichukuliwa na gari la kifahari la zari ambalo hata yeye hana, kwanza kabla yakufika Uganda alipigwa bit na mpenziwe Zari hakuna kuongea na vyombo vya habari kama unabisha tafuta kilp yeyote alio ongea dom na vyombo vya habari alipo enda Uganda, mtonyaji anasema wenye mke walipiga bit akizungumza tu wangemuaribu dom na huyo bi zari. heheheheheheheeheh jamani kaka akichukuliwa picha na paparazzi wa Uganda ananekana kazungukwa na baunsa ili asije ropoka.....

Ktk kile kinaonekana wenye mke kumchafuwa diamond alikutana na kashifa yakumdhulum mwanamziki Fulani dom alijikuta wakai mgum ktk kujitetea

jaman kweli Diamond akapimwe akili uwenda hata yule mtoto sio wake kama kweli waka pime DNA YA MTOTO NA BABA Tz pale ocean road ambapo ukweli utajulikana na sio SA kuficha ukweli........

Angalia picha zote za ivani akiwa na zari yan ivan anakula denda wazi wazi ila kaka hakuna picha anamuinamisha zari na kula denda kama mwenzake yani full kuolewa kakakakaakakkakakaakak.

Diamond hana pesa yakumpa zari yani uniamini mimi wala zari hana kitu anapoteza kuhusu Diamond na kiukweli diamond hana say kwa zari wala hana mamlaka za zari kama unabisha subiri uone ktk nyakati tofauti malezi ya zari kwa diamond yamemfanya diamond kuwa kama mnyonge pesa apate wapi kaka uyo zari waliokuwa wanampa kazi nakumuendesha ni akina Ivan jamaa ndio kiburi dume la ng'ombe hata sasa zari hutomsikia anamtukana au anamsema vibya njooo mh aseme vibaya kama kidume ajamuharibu, yani inatia huruma kwa kaka amepatikana,

Hatakiwi kumchosha dada akizidi kila mu chumba yake. heheheheheehehehehe natania ila kweli

mtonjaji hafungwi yote nimeandika yapo kwenye mtandao
Empty head, Hopeless. Simple minds discuss people not issues. Achana na superstar wetu Tanzania nzima. Either unakubali au unakataa Diamond Platinum is our number one Bongofleva star in Tanzania, chuki na husuda za wenye WIVU NA UVIVU will never stop Diamond Platinum.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom