Ukweli mchungu, Zari ndie kamuoa Diamond...

Uliyeandikaa hafa gala mkubwa Na tutakutafutaa tukushikishee Adabu..Wivuu tuuu kajinyooonge basi
 
Punguaniiii mkubwaaaaa wewe haaa Rohook zinawaumaaaaa Na mtaumwa saana Na Dawa Hakunaaaa
 
Jamani hivi kumbe kaka ndio kaolewa badala ya dada? nimekuwa nikipita kwenye mitandao kufuwatilia ukweli nikagunduwa ukweli,
Facts hizi hapa

Ivan mume wa zari alichukua poa kwa zari kumfuwata diamodi na ktk maojiano na vyombo vya habari jamaa anaonyesha kumdharau kijan Diamond kwa kukurupukia mapenzi ya watu wakati hajuwi ukweli, mtonyaji anasema mshikaji anajuwa ndani nje za zari hivyo domo atashika pembe huku wenzake wakipata ziwa heheheheeheh....

Diamondi kwenda Uganda alichukuliwa na gari la kifahari la zari ambalo hata yeye hana, kwanza kabla yakufika Uganda alipigwa bit na mpenziwe Zari hakuna kuongea na vyombo vya habari kama unabisha tafuta kilp yeyote alio ongea dom na vyombo vya habari alipo enda Uganda, mtonyaji anasema wenye mke walipiga bit akizungumza tu wangemuaribu dom na huyo bi zari. heheheheheheheeheh jamani kaka akichukuliwa picha na paparazzi wa Uganda ananekana kazungukwa na baunsa ili asije ropoka.....

Ktk kile kinaonekana wenye mke kumchafuwa diamond alikutana na kashifa yakumdhulum mwanamziki Fulani dom alijikuta wakai mgum ktk kujitetea

jaman kweli Diamond akapimwe akili uwenda hata yule mtoto sio wake kama kweli waka pime DNA YA MTOTO NA BABA Tz pale ocean road ambapo ukweli utajulikana na sio SA kuficha ukweli........

Angalia picha zote za ivani akiwa na zari yan ivan anakula denda wazi wazi ila kaka hakuna picha anamuinamisha zari na kula denda kama mwenzake yani full kuolewa kakakakaakakkakakaakak.

Diamond hana pesa yakumpa zari yani uniamini mimi wala zari hana kitu anapoteza kuhusu Diamond na kiukweli diamond hana say kwa zari wala hana mamlaka za zari kama unabisha subiri uone ktk nyakati tofauti malezi ya zari kwa diamond yamemfanya diamond kuwa kama mnyonge pesa apate wapi kaka uyo zari waliokuwa wanampa kazi nakumuendesha ni akina Ivan jamaa ndio kiburi dume la ng'ombe hata sasa zari hutomsikia anamtukana au anamsema vibya njooo mh aseme vibaya kama kidume ajamuharibu, yani inatia huruma kwa kaka amepatikana,

Hatakiwi kumchosha dada akizidi kila mu chumba yake. heheheheheehehehehe natania ila kweli

mtonjaji hafungwi yote nimeandika yapo kwenye mtandao
Wanaume wa dar ktk ubora wenu..hata haiitajiki dna kujua huyu mtoto ni wa nan
a274e0e3d39611788405b96bfec31d7e.jpg
hilo domo tu
 
hii DNA sauzi inawalakini!!!/
KUMBE DOMO NDO KAOLEWA.

....unajua kabisa demu ana jamaa yake anaitwa IVAN how can you fall.
 
mi nilifikiri kuna picha inaonyesha zari kwenda kutoa mahari kwa kina diamond, kumbe ni nonsense tupu,kweli hizi ndio story zinawapotezea muda mwingi vijana wa dar badala ya kufanya vitu vya maendeleo
 
Yaweza kuwa we ni kapuku tu huna hata hela ya kula lakini uko unahangaika na maisha ya ndani ya watu..olewa na wewe basi!!
 
Jamani hivi kumbe kaka ndio kaolewa badala ya dada? nimekuwa nikipita kwenye mitandao kufuwatilia ukweli nikagunduwa ukweli,
Facts hizi hapa

Ivan mume wa zari alichukua poa kwa zari kumfuwata diamodi na ktk maojiano na vyombo vya habari jamaa anaonyesha kumdharau kijan Diamond kwa kukurupukia mapenzi ya watu wakati hajuwi ukweli, mtonyaji anasema mshikaji anajuwa ndani nje za zari hivyo domo atashika pembe huku wenzake wakipata ziwa heheheheeheh....

Diamondi kwenda Uganda alichukuliwa na gari la kifahari la zari ambalo hata yeye hana, kwanza kabla yakufika Uganda alipigwa bit na mpenziwe Zari hakuna kuongea na vyombo vya habari kama unabisha tafuta kilp yeyote alio ongea dom na vyombo vya habari alipo enda Uganda, mtonyaji anasema wenye mke walipiga bit akizungumza tu wangemuaribu dom na huyo bi zari. heheheheheheheeheh jamani kaka akichukuliwa picha na paparazzi wa Uganda ananekana kazungukwa na baunsa ili asije ropoka.....

Ktk kile kinaonekana wenye mke kumchafuwa diamond alikutana na kashifa yakumdhulum mwanamziki Fulani dom alijikuta wakai mgum ktk kujitetea

jaman kweli Diamond akapimwe akili uwenda hata yule mtoto sio wake kama kweli waka pime DNA YA MTOTO NA BABA Tz pale ocean road ambapo ukweli utajulikana na sio SA kuficha ukweli........

Angalia picha zote za ivani akiwa na zari yan ivan anakula denda wazi wazi ila kaka hakuna picha anamuinamisha zari na kula denda kama mwenzake yani full kuolewa kakakakaakakkakakaakak.

Diamond hana pesa yakumpa zari yani uniamini mimi wala zari hana kitu anapoteza kuhusu Diamond na kiukweli diamond hana say kwa zari wala hana mamlaka za zari kama unabisha subiri uone ktk nyakati tofauti malezi ya zari kwa diamond yamemfanya diamond kuwa kama mnyonge pesa apate wapi kaka uyo zari waliokuwa wanampa kazi nakumuendesha ni akina Ivan jamaa ndio kiburi dume la ng'ombe hata sasa zari hutomsikia anamtukana au anamsema vibya njooo mh aseme vibaya kama kidume ajamuharibu, yani inatia huruma kwa kaka amepatikana,

Hatakiwi kumchosha dada akizidi kila mu chumba yake. heheheheheehehehehe natania ila kweli

mtonjaji hafungwi yote nimeandika yapo kwenye mtandao
Nawewe umeolewa na nani mrembo..
 
Huku siyo badoo Mkuu! Hebu Kua Na Adabu kidogo basi, Au unafikiri wote humu Ni wacheza pool table mchana?


Naona unashoboka sana wewe mbona hushine??

Unamsifiaje mwanaume mwenzio?? Tumia Akili
 
Ila swali kubwa nu kuuliza kwamba je wewe ungekuwa Naseeb Abdul ungekubali kuzaa na mwanamke mwenye watoto watatu tayari na mwanaume mwingine na uishi naye kinyumba ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom