luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Wadau wa soka Hamjambo
Nimekuwa nikimfuatilia huyu mutu wa DRC straiker MAKAMBO kuurejesha kwake ktk club ya Yanga SC, matarajio ya wananchi walifikiri atawasaidia lakini ukweli huyu jamaa ni Yikpe season 3 yaan Yanga mmepigwa na wale jamaa zenu wanao wasajilia wachezaji.
Narejesha matangazo studio
Nimekuwa nikimfuatilia huyu mutu wa DRC straiker MAKAMBO kuurejesha kwake ktk club ya Yanga SC, matarajio ya wananchi walifikiri atawasaidia lakini ukweli huyu jamaa ni Yikpe season 3 yaan Yanga mmepigwa na wale jamaa zenu wanao wasajilia wachezaji.
Narejesha matangazo studio